LGE2024 Wanachofanya CCM na TAMISEMI ni ulevi mbaya sana wa madaraka

LGE2024 Wanachofanya CCM na TAMISEMI ni ulevi mbaya sana wa madaraka

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
 
Hizi nafasi za kupeana kiundugu ili wakulinde ni mbaya sana

Kuna Siasa za kipumbavu sana nchi hii

Wanadai Chadema Imekufa sasa hizi figisu za kijinga za nini?
 
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
Wanahubiri maza anaupiga mwingi huku wanaandisha watoto,wafu ili waibe kura...ccm imejifia kitambo bila nec,policeccm hawapati hata jimbo moja
 
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
Hawataki kubadilika kwa sababu washajua, wanaonewa hawana chakufanya. Palestina wakipigania haki zao nyinyi mnaona mnawaita kila majina mabaya. Sasa haya haya
 
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
ni muhimu sana kuzingatia na kufuata sheria na katiba.

haiwezekani watu wasio kidhi sifa, vigezo na masharti ya ugombeaji wakaruhusiwa kugombea uongozi kwa kukuaka sheria 🐒
 
ni muhimu sana kuzingatia na kufuata sheria na katiba.

haiwezekani watu wasio kidhi sifa, vigezo na masharti ya ugombeaji wakaruhusiwa kugombea uongozi kwa kukuaka sheria 🐒
Kwa upinzani tu? Ccm wote malaika wanapita?
 
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
Ni upumbavu na dharau kwa wananchi asee
 
Hizi nafasi za kupeana kiundugu ili wakulinde ni mbaya sana

Kuna Siasa za kipumbavu sana nchi hii

Wanadai Chadema Imekufa sasa hizi figisu za kijinga za nini?
Uwendawazimu ni kufanya jambo lile lile kwa mtindo ule ule na kutarajia mabadiliko.

Sasa chadema ilikubali kuingia kwenye uchaguzi huu ambao unasimamiwa na wakurugenzi wale wale, lkn ikitarajia matokeo bora zaidi. How?

Waliofanya figisu 2019 na 2020 ndiyo hao hao wanakaosimamia uchaguzi wa 2024 na 2025. Kwanini ionekane ajabu figisu kujirudia, ikiwa wasimamizi wa uchaguzi hawajabadilika???
 
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 3
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Kwanini hawa watu hawataki kubadilika? Waliyofanya 2019 na 2020 kwao yalikuwa mazuri? Tanzania inatoka wapi na inaelekea wapi?

Mambo haya yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uongozi uliopo. Kwani kina Mkapa na Kikwete walishindwa kufanya haya? Kwanini iwe sasa? Ni kwanini watu tunakosa akili kiasi hiki?

Inatia aibu kuona jambo muhimu lenye kuamua hatima ya nchi linavurugwa kisa tu ulafi na ulevi why?

Kama nchi tujifunze kuwa wastaarabu kwenye mambo muhimu kama ya uchaguzi. Isitokee kikundi fulani kujiona wao ndio wenye haki ya kujiweka madarakani tena kwa kulazimisha. Hii siyo sawa hata kidogo na inatia maudhi.
Huu upuuzi aliuasisi jiwe kichaa yule! Jinga sana lile lishetani! Hawa wanafuata mkondo wake! Mungu Fanya mambo yako sifa zikurudie eee mola wetu!
 
Kijana mdogo hujui Mkapa alifanya nini kule Z'bar
Nae alikuwa ibilisi TU shetani mkubwa sana, walishakutana Kule Motoni! Walijifanya wakatoliki watakatifu sana jumuiya wanahudhuria sana! Kumbe maibilisi makubwa sana!
 
Mbaya zaidi wanafanya na flyover hawajengi. Bora Magufuli
 
Kwa upinzani tu? Ccm wote malaika wanapita?
Yeyote asiekidhi vigezo, sifa na masharti ya kisheria za Uchaguzi na kikatiba bila kujali mirengo na vyama vyao, ni vyema akaondolewa mara moja 🐒
 
Yeyote asiekidhi vigezo, sifa na masharti ya kisheria za Uchaguzi na kikatiba bila kujali mirengo na vyama vyao, ni vyema akaondolewa mara moja 🐒
Inshallah. Siku ukishakuwa humo ktk mfumo utaanza kujuta unayoyafanya kwa wenzio
 
Back
Top Bottom