Wanachofanya CHADEMA, NCCR, CUF, ACT, UDP nk ni kampeni

Wanachofanya CHADEMA, NCCR, CUF, ACT, UDP nk ni kampeni

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
 
Y
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Yaani asubuhi tu unaanza kulalamika ukubwa wa masupika!
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
mabwabwa yanapopelekewa moto huwa yanapiga kelele na bado mpaka yalie kama mbuz
 
Tukianza kutumia nguvu yetu kudhibiti uvunjifu huo msilalamike - cc ni chama, ni taifa na ni nchi,
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
muhafidhina wewe. wana hatari gani sasa? c mmesema hapa kwamba hawana jipya? toa ushamba wako hapa
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Ila sisi wanaccm tunacheza vigodoro sio 🤔
 
Mwanaume tena mtu mzima anayetumia cc badala ya sisi lazima ni mfuasi wa rainbow, tena yeye ndiyo anapakuliwa..
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Hata unaowapigania nao wamekuona zuzu tu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
..NEC hawajatangaza tarehe ya uchaguzi.

..Pia hawajatangaza kipindi cha kampeni.

..Kwa msingi huo vyama vina uhuru wa kufanya mambo yao kwasababu havifungwi na tangazo lolote la NEC.
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Huyu naye anatafuta teuzi
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Kalime maboga acha kujikomba
 
WanaJf,
Salaam!
Kinachofanywa na vyama vya siasa nchini hususan nilivyotaja hapo juu ni uvunjifu wa Sheria.

Msajili wa vyama nchini, Serikali, CCM na mamlaka zingine chukuweni hatua kwa wakati vinginevyo deko mnalowapa hawa vyama ni hatari kwa nchi.
Dah.. Tangu mama aseme anapitaga huku na kutusoma imekuwa kero sasa
 
..Dokta Samia naye ameshajitangaza kuwa ni mgombea 2025.

..Je, na yeye anahusika na tuhuma zako za kufanya kampeni?
 
Back
Top Bottom