Wanachokitaka wanawake

Shukrani sana kwa wote mliochangia mada hii, lengo lilikua kujua hasa sababu zinazoweza kumfanya mwanamke ampende au kuvutiwa kuwa na mwanaume...kwa yeyote mwenye sababu ya tofauti anakaribishwa
 
awe ni mtu aliyebeba utu wa mwanadamu kuliko kitu kingine chochote. akiwa ni wa kunipenda mimi na kuwachukia wengine itakuwa ni hatari sana.
 
cha msingi hapa nikupendana hayo mengine ni mengineyo tu.... kwanza wengi wanaoangalia hvyo vigezo hawana true love,ts conditional love hyo......
 
Pesa inanifanya niwe handsome sana....hakuna kingine ni shekeli tuu...
 
jamani you people hivi tunaongelea kupenda kwa maana gani?mara nyingi sana kwa ufaham wangu finyu humu mmu huwa tunapoongelea kupenda tunamaanisha kimapenzi zaid lakini hata katika mapenzi pamegawanyika pia kuna mapenzi kati ya bf /gf na kati ya husband and wife.

nafikiri huwez kupata majibu sahihi ya unampenda kivipi kama hutoweza kudistinguish haya. mengine kwangu mimi ipo tu kwa sababu ipo.
 
pendaneni tu, nipo nyuma yenu naja! kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…