Wanachopaswa kufanya CHADEMA baada ya Tamko la Polisi

Wanachopaswa kufanya CHADEMA baada ya Tamko la Polisi

Kwani kumpokea Lisu kunahusianaje na mazishi ya mkapa?
watakao kwenda msibani waende na sisi tutakao kwenda kumpokea Lisu tutaenda.
mbona hivi ni vitu viwili tofauti kabisa? Au Mnataka mtulazimishe wote twende kwenye mazishi?
 
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya Chadema kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema Chadema wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.

Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.

Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.

Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.

Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.
Msiba hauna uzito kwa wanyonge! Huo ni wa ikulu na ccm tu.
 
Yaani mtu kanusurika risasi 17 halafu unasema akifika aende Taifa kwani akienda Taifa ndo Mkapa atafufuka?

Acha Mkapa apumzike Mungu alipomwandalia kutokana na matendo yake wakati yuko hai yeye kama binadamu lakini kwa dhamana akizokuwanazo jinsi alivyozitumikia na Lissu acha arudi akaione familia yake pamoja na wapendwa wake afanye tendo la kumshukuru Mungu kwa kumzawadia uhai kwa mara ya pili

Wauwaji wa Lissu wana weweseka manina. Ameshinda mauti Lissu sasa yu hai
 
Chadema pale wamejaa vijana wasiojielewa ndio wanamshauri Mwenyekiti, unategemea nini kitokee.
 
Ni kuvunja miguu tu yeyote atakaepeleka pua yake kumuona huyu mpuuzi lissu
so utafaidika nini mkuu taifa hili tutaliabu sisi wenyewe kwa ulibuken na ushamba wetu wenyewe,
mfano umevunja mguu mtu je wewe ulievunja utaishi milele ,tuache ushabiki wa kipuuzi hautusaidii lolote
mkuu ,
 
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya Chadema kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema Chadema wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.

Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.

Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.

Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.

Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.

Holy Crap, Planning ya Mapokezi ya Lissu imeanza Leo ?
Si ilikuwa even Before the Death Of BWM ?
Planning ipi iliyo Fail ?
 
The late former POTURT ndiye aliyemuweka ndani T.A.M.L aliporudi Tz toka nnje. Na tena ndiye aliyemletea za kuleta wakati anapigania watu wa " madinini".
 
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya Chadema kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema Chadema wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.

Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.

Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.

Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.

Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.

Uko sahihi sana, na una maelezo yanayoingia akilini. Je siku ile wafuasi wa cdm wametaka kukusanyika ili wamuombee wakakataliwa, kulikuwa na msiba wa kiongozi gani? Mbona wakati ule hukuanzisha uzi wa kuishutumu polisi kuwazuia cdm, wakati hakuna msiba? Au ushauri wako unaoongozwa na mambo ya mahaba niue?
 
Kugoma kwenda taifa kwa sababu hatafufuka hiyo ndiyo uanaharakati ndani ya Chadema. Ila pamoja na kwamba kanusurika kuuawa anarudi kama mtu ambae anataka kuwa Rais “siasa” ni kwenda kutoa pole.. unless uniambie Lissu hayupo serious na nafasi ya urais.

Lisu alipopigwa risasi, Mkapa aliwahi kutoa pole? Ama Mkapa naye alikuwa mwanaharakati? Mkapa alipokuwa aliwaita wapinzani malofa naye alikuwa mwanaharakati?
 
Timing ni mbaya wangekua wanajifunza kama ile Corona bungeni wangejipanga upya
 
Kwani kumpokea Lisu kunahusianaje na mazishi ya mkapa?
watakao kwenda msibani waende na sisi tutakao kwenda kumpokea Lisu tutaenda.
mbona hivi ni vitu viwili tofauti kabisa? Au Mnataka mtulazimishe wote twende kwenye mazishi?
Wanachotaka ni Lissu asipokelewe. Walisema harudi sasa ni dhahiri anarudi, kama si Mkapa wangetafuta kisingizio chochote. Karibu Lissu Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: bne
Toka asubuhi nimeona taarifa za hamasa za kumpokea Tundu Lissu. Ni katika kuhamasisha mipango ya ndani ya Chadema kumtengenezea ukubwa Tundu Lissu, lakini nasikitika kusema Chadema wamefeli kwanzia planning, na execution ya Jambo la Lissu.

Nitaelezea siku nyingine hapo kwenye planning ila kwa haraka haraka, tayari walishajua kuna msiba wa kiongozi (former President) Mh Mkapa ni tukio zito katika level ya Taifa.

Alikuwa na nyadhifa mbalimbali, Rais, Mwenyekiti wa CCM na pia Amekuwa Amiri Jeshi mkuu. Attention ya taifa ni huko, Lissu anakuja kama mtu ambae anajinadi anataka kuongoza nchi, ile ni nafasi kubwa inabidi ajiweke (act as the one), kama mtu ambae atakuwa baba, mfariji na kiongozi wa wote.

Angekuja bila hyping au mbwembwe aelekee uwanja wa uhuru au nyumbani kwa Hayati Mkapa, ila kwa sababu CHADEMA hawana mipango na wao sio wanasiasa ni wanaharakati wanatafuta mob attention. Hakuna nchi inayoweza kuruhusu hilo. Msiba wa Rais (former), unatambulika kikatiba.

Ninachojua CHADEMA hawashauriki na wanapenda kushupaza shingo ila warudi wajiangalie upya.
Mkuu kitu gani kinakufanya uamini kuwa watu wote tumeguswa na kifo Cha mkapa?
 
Lissu aliugua akalazwa Nairobi, LofaBoy hakwenda kumjulia Hali Wala kutoa pole hata tamko la kulaani kitendo alichofanyiwa Lissu!
Ningekuwa Mimi Ni Lissu siyo tu kutokwenda kuombeleza kufa kwa LofaBoy Yani ningetafuta hata wachawi wamuue Mara ya pili.

#Wiki_Ya_Sikukuu_Pemba#
Hiki kizazi chenu kina hasara iliyotukuka. Zile mila na Tamaduni zetu KUHUSU wafu Mama zetu hawakupata kuwaambia labda kwakua mmelelewa na Dada wa kazi zaidi.
 
Wapumbavu na malofa kwao ni kiki ya kisiasa.

Nasisitiza kuwa kama Lissu angekuwa ni malikitu (asset) kisiasa, wapiga kura wake waliomwingiza bungeni na wanachama wa TLS (Rais wao wakati wa tukio la kushambuliwa) wangehamasishana kumpokea. Ila zumbukuku wa kisiasa wanadhani wamepata kumbe watapatikana.
Hua napata hisia, kwa hawa jamaa kupigwa risasi kwao ni faida ya kisiasa. Kwa maana kwamba ilibidi ashambuliwe ili aweze kuuzika kwa wapiga kura. Kwa akili hizi unamuwekaje binadam wa hivi Ikulu?
 
Back
Top Bottom