Wanachotaka wafanyabiashara kwenye mgomo ulioanza leo tarehe Juni 24, 2024 Kariakoo na nchi nzima

Wanachotaka wafanyabiashara kwenye mgomo ulioanza leo tarehe Juni 24, 2024 Kariakoo na nchi nzima

Sababu tra wanaangalia mauzo hawaangalii faida uliyoingiza kadri unavoandika risit nyingi ndivo mapato yako yanapanda, mfano mimi biashara yangu nikiuza 100,000 faida ni 4,000 tra wao wanahesabu umeuza 100,000 kumbe pale umepata 4000 tu
Nishawauliza tra kwanini mapato wanakadiria mauzo na si faida hawaoni kama wanatuumiza walinijibu kwamba wanajua kama tunaumia ila wao wanafata sheria inavosema, ko kama mfanyabiashara akiri kichwan mwangu nitoe risit au nisitoe
 
MEngi yana mashiko ila lakuomba faini ishuke inamaanisha wanataka kujihalalishia kutokutoa risiti ili hata wakikamatwa wasiumie na faini hizo.

WAtoe tu risiti kupunguza kelele.

Issue ya mashine inamashiko.
Kunahaja gani ya kuuziwa mashine ilihal ni kifaa cha tra kujua au kupatia kodi?
Yan n kama kuuziwa nguzo ya umeme na meter ya umeme.

Wasikilizwe wafanyabiashara na watu wakae chini watatue changamoto zao
 
Vat ni 18% kubwa ilitakiwa iwe ngapi? Na kwanini ni Kariakoo tu? Wao ndio wafanyabiashara pekee nchi hii? Nasikitika kusema hoja zao karibu zote hazina mashiko. Wajipange na hoja za maana. Ni aibu eti mfanyabiashara ana negotiate fine ya kutotoa risiti. Seriously? Unatakiwa kutoa risiti sio uombe faini ndogo ya kutotoa risiti, it's a joke.
Ni joke kwa mtu ambaye hajafanya biashara. Japokuwa nakubali kuwa Tanzania watu hawana culture ya kulipa kodi lakini kusema madai ya hao wafanyabiashara hayana msingi ni joke kubwa zaidi. Narudia tena: watu hawatoi risiti kwa sababu wakitoa kihalali biashara inakufa. Tanzania institutions nyingi kabisa zainatakiwa kuhudumia wananchi zinatumia sheria zilizopitwa wna wakati. Na TRA ni mfano mmoja. Sheria zinatoa haki za kipolisi kwa TRA na upande wa raia unatakiwa ufuate kila kitu bila kuhoji.
 
Reasoning ya wafanyabiashara wetu inachekesha.
Inachekesha kwa sababu kodi yetu ni ya makaratasi. Ukiisoma ipo perfect mpaka pale utakapokutana na afisa aliyepewa target ya makusanyo akiwa kashika bank statement zako akitaka 18% + approx 30% ya kiasi kilichozidi bank akilinganisha na mashine yako ya EFD. Ulipitisha pesa za msiba utajua pa kumpata marehemu athibitishe kuwa hizo pesa alichangiwa yeye. Mifumo imekaa kufizia mauzo na mzunguko badala ya faida hili ndo tatizo.

Unajua msingi wa kutokutoa risiti unaanzia wapi? Dagaa kununua mzigo kwa makambale bila risiti kama hutaki acha.
Serikali iache kupambana na dagaa, ipambane na kambale. Kambale akishauza kwa risiti dagaa lazima atataka kuuza kwa risiti maana anakuwa ana VAT nyingi keshailipia. Kama anatoa risiti pungufu utamjua tu sababu atakuwa anadai sana na hana mzigo na anaendelea kununua.
 
Watenguliwe kwa kosa gani? Hio itakuwa siasa tu. Labda waende bungeni wakabadili sheria za kodi. TRA wanapita mle mle.
Wewe umejaa kiburi kama hawa watawala na huenda ni miongoni mwao. Ukishaona serikali ina kiburi cha kukandamiza wananchi kwa kodi kubwa halafu zile fedha zinazokusanywa zinatumika kununua magari ya kifahari na kila aiana ya kufuru ujue ni sawa na mashetani. Hili la malalamiko ya wafanyabiashara ni la siku nyingi lakini serikali imeziba masikio. Kwa nini wasifnaye majadiliano na hata kama watasema hawataki kurekebisha waje na sababu zinazoeleweka?
 
Inachekesha kwa sababu kodi yetu ni ya makaratasi. Ukiisoma ipo perfect mpaka pale utakapokutana na afisa aliyepewa target ya makusanyo akiwa kashika bank statement zako akitaka 18% + approx 30% ya kiasi kilichozidi bank akilinganisha na mashine yako ya EFD. Ulipitisha pesa za msiba utajua pa kumpata marehemu athibitishe kuwa hizo pesa alichangiwa yeye. Mifumo imekaa kufizia mauzo na mzunguko badala ya faida hili ndo tatizo.

Unajua msingi wa kutokutoa risiti unaanzia wapi? Dagaa kununua mzigo kwa makambale bila risiti kama hutaki acha.
Serikali iache kupambana na dagaa, ipambane na kambale. Kambale akishauza kwa risiti dagaa lazima atataka kuuza kwa risiti maana anakuwa ana VAT nyingi keshailipia. Kama anatoa risiti pungufu utamjua tu sababu atakuwa anadai sana na hana mzigo na anaendelea kununua.
Ewaa....jamaa hawawezi kutoa risiti kwasababu wanaleta mzigo kupitia makambale na hawapewi documents. Lakini hio pia ni chaguo lao. Wapo wafanyabiashara wengi tu wanaleta mzigo wenyewe. Mfano mimi. Tra hata uwe compliant 100% lazima wakutafutie zengwe, ni wewe tu una deal nao vipi.
 
Wewe umejaa kiburi kama hawa watawala na huenda ni miongoni mwao. Ukishaona serikali ina kiburi cha kukandamiza wananchi kwa kodi kubwa halafu zile fedha zinazokusanywa zinatumika kununua magari ya kifahari na kila aiana ya kufuru ujue ni sawa na mashetani. Hili la malalamiko ya wafanyabiashara ni la siku nyingi lakini serikali imeziba masikio. Kwa nini wasifnaye majadiliano na hata kama watasema hawataki kurekebisha waje na sababu zinazoeleweka?
Don't be emotional.
 
Ni joke kwa mtu ambaye hajafanya biashara. Japokuwa nakubali kuwa Tanzania watu hawana culture ya kulipa kodi lakini kusema madai ya hao wafanyabiashara hayana msingi ni joke kubwa zaidi. Narudia tena: watu hawatoi risiti kwa sababu wakitoa kihalali biashara inakufa. Tanzania institutions nyingi kabisa zainatakiwa kuhudumia wananchi zinatumia sheria zilizopitwa wna wakati. Na TRA ni mfano mmoja. Sheria zinatoa haki za kipolisi kwa TRA na upande wa raia unatakiwa ufuate kila kitu bila kuhoji.
Madai yao mengi hayana mashiko. Wajipange. Ndio maana hata last time walikubaliwa tu na hamna kilichobadilika.
 
Madai yao yote hayana nguvu.
Serikali iache kubembeleza hawa watu.
Biashara zinafanywa nchi nzima ila kila mwaka malalamiko yanatoka Kariakoo tu, kuna nini hapo?
Waendelee kufunga kisha tuone atakayeathilika
 
Madai yao mengi hayana mashiko. Wajipange. Ndio maana hata last time walikubaliwa tu na hamna kilichobadilika.
Madai yao yasingekuwa na mashiko, viongozi wasingekimbizana kuja kuwasikiliza wangekaa kimya tu wafungee mpaka watakapochoka halafu wafungue wenyewe.


Ila ndugu, kama wewe ni moja kati ya nyie viongozi wa nchi hii, basi mnatakiwa mjisort sana namna yenu ya uongozi.
 
Madai yao mengi hayana mashiko. Wajipange. Ndio maana hata last time walikubaliwa tu na hamna kilichobadilika.
Hata mimi napenda sana serikali iendelee kuwa na kiburi na iwe inawadanganya tu ili wananchi wengi zaidi waamke kwenye usingizi wa pono waliolala. Trust me. Kama unaona madai ya wafanyabiashara hayana mashiko, lakini matumizi ya serikali ya kodi wanazokamua walalahoi kwenye kununua magari ya kifahari na kusafiri na ''wasanii'' ndiyo yana mashiko, basi naona kumekucha.
 
Hata mimi napenda sana serikali iendelee kuwa na kiburi na iwe inawadanganya tu ili wananchi wengi zaidi waamke kwenye usingizi wa pono waliolala. Trust me. Kama unaona madai ya wafanyabiashara hayana mashiko, lakini matumizi ya serikali ya kodi wanazokamua walalahoi kwenye kununua magari ya kifahari na kusafiri na ''wasanii'' ndiyo yana mashiko, basi naona kumekucha.
One thing at a time. Ukitaka tuzungumzie madudu ya serikali fungua thread nitakuja kuwa upande wako ila hapa hatuzungumzii matumizi ya kodi. Two wrongs do not make a right.
 
Madai yao yasingekuwa na mashiko, viongozi wasingekimbizana kuja kuwasikiliza wangekaa kimya tu wafungee mpaka watakapochoka halafu wafungue wenyewe.


Ila ndugu, kama wewe ni moja kati ya nyie viongozi wa nchi hii, basi mnatakiwa mjisort sana namna yenu ya uongozi.
Sawa.
 
Ni joke kwa mtu ambaye hajafanya biashara. Japokuwa nakubali kuwa Tanzania watu hawana culture ya kulipa kodi lakini kusema madai ya hao wafanyabiashara hayana msingi ni joke kubwa zaidi. Narudia tena: watu hawatoi risiti kwa sababu wakitoa kihalali biashara inakufa. Tanzania institutions nyingi kabisa zainatakiwa kuhudumia wananchi zinatumia sheria zilizopitwa wna wakati. Na TRA ni mfano mmoja. Sheria zinatoa haki za kipolisi kwa TRA na upande wa raia unatakiwa ufuate kila kitu bila kuhoji.
TRA wanapenda sana mauzo na mzunguko bank kuliko faida. Yaani wanapenda kudeal na fedha ghafi.

Watendaji hawajawahi kufanya biashara, wanachukuliwa vyuoni, wanajua hesabu za makaratasi ilihali field uhalisia ni tofauti.

Unamwambia Afisa hizi pesa si zote ni mauzo ya wakati huu, ni pesa zile zile zinazunguka naweka na kutoa nikuze mzunguko niongeze kiwango cha kukopa na zingine ni madeni yanalipwa, madeni ambayo nilishayatolea risiti na kufile 18% yake. Yeye anakwambia thibitisha, hujakaa sawa assesment hiyo hapo, ukilalamika unaambiwa appeal ila lipa 1/3 kwanza.
 
One thing at a time. Ukitaka tuzungumzie madudu ya serikali fungua thread nitakuja kuwa upande wako ila hapa hatuzungumzii matumizi ya kodi. Two wrongs do not make a right.
These are not two separate things, dear. It is one entity. Here we are talking about tax collection and its usage. Just as you need to be careful in collecting taxes, you also need to be careful in using them. These two are related."
 
Back
Top Bottom