Wanachotaka wafanyabiashara kwenye mgomo ulioanza leo tarehe Juni 24, 2024 Kariakoo na nchi nzima

Wanachotaka wafanyabiashara kwenye mgomo ulioanza leo tarehe Juni 24, 2024 Kariakoo na nchi nzima

Ewaa....jamaa hawawezi kutoa risiti kwasababu wanaleta mzigo kupitia makambale na hawapewi documents. Lakini hio pia ni chaguo lao. Wapo wafanyabiashara wengi tu wanaleta mzigo wenyewe. Mfano mimi. Tra hata uwe compliant 100% lazima wakutafutie zengwe, ni wewe tu una deal nao vipi.
Mkuu ni chaguo lao sababu anakuwa hana namna. Mzigo huu hapo, bei M230. Lipa upewe risiti ya M50 au usinunue.

Binafsi naona ni rahisi sana kuikusanya VAT inapoanzia kisha ukaacha iflow automatic. Swali ni kuwa, kwanini inapoanzia inakuwa shida? Kwanini hawa wa kati ndo wabanwe sana? Mbona ni rahisi zaidi kubana viwandani na bandarini kila anayenunua anunue na risiti kuliko kuacha mzigo ufike huku katikati ndo uanze kubana risiti? Huko juu ukishanunua kwa risiti ukalipa VAT lazima utataka uikusanye kupunguza deni ulilolipa na kuikusanya ni kutoa risiti. Sasa kwanini inakuwa ngumu?
 
Mkuu ni chaguo lao sababu anakuwa hana namna. Mzigo huu hapo, bei M230. Lipa upewe risiti ya M50 au usinunue.

Binafsi naona ni rahisi sana kuikusanya VAT inapoanzia kisha ukaacha iflow automatic. Swali ni kuwa, kwanini inapoanzia inakuwa shida? Kwanini hawa wa kati ndo wabanwe sana? Mbona ni rahisi zaidi kubana viwandani na bandarini kila anayenunua anunue na risiti kuliko kuacha mzigo ufike huku katikati ndo uanze kubana risiti? Huko juu ukishanunua kwa risiti ukalipa VAT lazima utataka uikusanye kupunguza deni ulilolipa na kuikusanya ni kutoa risiti. Sasa kwanini inakuwa ngumu?
Sitaki kuamini kwamba hujui kuwa mzigo ukiingia unalipiwa VAT. Mzigo ukiingia bandarini,airport au popote pale halali unalipiwa VAT(Kama sio VAT exempt). Na ukishalipia VAT njia ya kupata hela yako ni kutoa risiti. Kama ulivyosema hapo juu tatizo mzigo unapoingia kwa kutumia mapapq wewe hupati documents na VAT itaenda na maji. Sasa tatizo la TRA au wewe ulieamuq kuleta mzigo kutumia mapapa?
 
Mkuu ni chaguo lao sababu anakuwa hana namna. Mzigo huu hapo, bei M230. Lipa upewe risiti ya M50 au usinunue.

Binafsi naona ni rahisi sana kuikusanya VAT inapoanzia kisha ukaacha iflow automatic. Swali ni kuwa, kwanini inapoanzia inakuwa shida? Kwanini hawa wa kati ndo wabanwe sana? Mbona ni rahisi zaidi kubana viwandani na bandarini kila anayenunua anunue na risiti kuliko kuacha mzigo ufike huku katikati ndo uanze kubana risiti? Huko juu ukishanunua kwa risiti ukalipa VAT lazima utataka uikusanye kupunguza deni ulilolipa na kuikusanya ni kutoa risiti. Sasa kwanini inakuwa ngumu?
Sitaki kuamini kwamba hujui kuwa mzigo ukiingia unalipiwa VAT. Mzigo ukiingia bandarini,airport au popote pale halali unalipiwa VAT(Kama sio VAT exempt). Na ukishalipia VAT njia ya kupata hela yako ni kutoa risiti. Kama ulivyosema hapo juu tatizo mzigo unapoingia kwa kutumia mapapq wewe hupati documents na VAT itaenda na maji. Sasa tatizo la TRA au wewe ulieamuq kuleta mzigo kutumia mapapa?
K
These are not two separate things, dear. It is one entity. Here we are talking about tax collection and its usage. Just as you need to be careful in collecting taxes, you also need to be careful in using them. These two are related."
Sawa boss.
 
Sitaki kuamini kwamba hujui kuwa mzigo ukiingia unalipiwa VAT. Mzigo ukiingia bandarini,airport au popote pale halali unalipiwa VAT(Kama sio VAT exempt). Na ukishalipia VAT njia ya kupata hela yako ni kutoa risiti. Kama ulivyosema hapo juu tatizo mzigo unapoingia kwa kutumia mapapq wewe hupati documents na VAT itaenda na maji. Sasa tatizo la TRA au wewe ulieamuq kuleta mzigo kutumia mapapa?
Mkuu, wanaoleta mzigo mikubwa hapa nchini ni kina nani? Embu jaribu kuingiza mzigo wako wa pombe kali au wa vitenge au chochote in Bulk container zako kadhaa. Fanya kama vile unataka kuliteka soko ili uuze kwa risiti. Inawezekana Ukawafahamu mapapa.

Unalosema ingekuwa sawa endapo wachache wangekuwa wana hii changamoto, ila kwa sababu wengi inasemekana hawatoi risiti basi assumption ni kuwa wengi hawanunui kwa risiti meaning hapo juu wengi ni mapapa.
 
TRA wanapenda sana mauzo na mzunguko bank kuliko faida. Yaani wanapenda kudeal na fedha ghafi.

Watendaji hawajawahi kufanya biashara, wanachukuliwa vyuoni, wanajua hesabu za makaratasi ilihali field uhalisia ni tofauti.

Unamwambia Afisa hizi pesa si zote ni mauzo ya wakati huu, ni pesa zile zile zinazunguka naweka na kutoa nikuze mzunguko niongeze kiwango cha kukopa na zingine ni madeni yanalipwa, madeni ambayo nilishayatolea risiti na kufile 18% yake. Yeye anakwambia thibitisha, hujakaa sawa assesment hiyo hapo, ukilalamika unaambiwa appeal ila lipa 1/3 kwanza.
Moja ya sheria kandamizi ni hii ya kulipa 1/3 ya deni la mchongo kabla ya rufaa kusikilizwa. Yaani TRA wanakubambika deni 1b unapinga unaambiwa Lipa 1/3 yaani 333m ndio make chini muongee. Hapa ndio mtu anaona bora atoe 70m deni lifutwe. Hii sheria ndio mambo watu wanatakiwa wa.wambie waziri au Rais ibadilishwe. Iwe hakuna kulipa chochote hadi rufaa isikilizwe na itolewe maamuzi.
 
Moja ya sheria kandamizi ni hii ya kulipa 1/3 ya deni la mchongo kabla ya rufaa kusikilizwa. Yaani TRA wanakubambika deni 1b unapinga unaambiwa Lipa 1/3 yaani 333m ndio make chini muongee. Hapa ndio mtu anaona bora atoe 70m deni lifutwe. Hii sheria ndio mambo watu wanatakiwa wa.wambie waziri au Rais ibadilishwe. Iwe hakuna kulipa chochote hadi rufaa isikilizwe na itolewe maamuzi.
Hii sheria imekaa kiwizi wizi sana mkuu. Deni lina tatizo, nakuambia lina tatizo unaniambia lipa 1/3 au kiwango kisicho na tatizo which ever is bigger ndo tusikilizane. Though kuna room ya kuappeal bila 1/3 lakini lazima uprove kuwa huna hiyo capacity. Sasa tunalipa kodi kwa capacity hata kama siyo halali?
 
Back
Top Bottom