Hitimiaho la hoja yangu hujalitafakari kwa ujumla wake. Nisome tena.Hujui nature na history ya Mbowe - kaa chini kijana. Ndo nakwambia waambie na hao mnaofikiri Mbowe ni mwanasiasa msaka fursa - mmepotea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hitimiaho la hoja yangu hujalitafakari kwa ujumla wake. Nisome tena.Hujui nature na history ya Mbowe - kaa chini kijana. Ndo nakwambia waambie na hao mnaofikiri Mbowe ni mwanasiasa msaka fursa - mmepotea.
Kuna kitu wafuasi wa Mbowe wanaweza kukifanya kuishinikiza serikali kumuachia Mbowe?Mtasubiri sana!!
Mtateska sana kwa kulezwa ukweli kuwa hii ni kesi ya mchongo kama huko ndio kushinikiza.Kuna kitu wafuasi wa Mbowe wanaweza kukifanya kuishinikiza serikali kumuachia Mbowe?
Tunalaumu Majaji na serikali lakini tunasahau kulaumu waleta Uchuro kule space na Mahakamani. Hakuna Jaji atakaye kubali kutoa uamuzi kwa kelele na shinikizo la mashabiki wanaojaribu kumuelekeza nini afanye. Mnamnyima nafasi hata ya kutumia busara ktk kutoa maamuzi.Lkn Mbowe anaumia na hatujui anachokiwaza moyoni kwake. Yawezekana ukasikia kesho asubuhi amepiga magoti kuomba poo
Tatizo lipo kwa wafuasi wa Mbowe na watanzania wapenda demokrasia. Hivi imeshindikana kabisa kuliamsha dude mpk serikali na dola wakaomba poo???!
Kwa staili hii Mbowe atashikiliwa mpk uschaguzi mkuu wa 2025 upite
Ataka asitake, huyo Jaji na walio nyuma yake lazima waelezwe ukweli.Tun
Tunalaumu Majaji na serikali lakini tunasahau kulaumu waleta Uchuro kule space na Mahakamani. Hakuna Jaji atakaye kubali kutoa uamuzi kwa kelele na shinikizo la mashabiki wanaojaribu kumuelekeza nini afanye. Mnamnyima nafasi hata ya kutumia busara ktk kutoa maamuzi.View attachment 2123250
SSH anajitengenezea laaana kubwa sana huyu Mbowe kapambana na Mkapa, kapambana na Kikwete kwa hoja na upendo sasa alivyoingia devil akaja kuharibu kabisa hii nchi. Ila ukweli huyu Mzanzibar anachokitafuta hatokuja kuamini watakavyomkimbia wenzake. Kesi ya kijinga sana hii. Ila acha waje mashahidi wake tuone sarakasi ya jamhuri.
Hoja yangu ni kwamba Mbowe alipaswa kuungwa mkono kwa vitendo na siyo maneno matupu.Mtateska sana kwa kulezwa ukweli kuwa hii ni kesi ya mchongo kama huko ndio kushinikiza.
SSH hawajui CCM vyema akimfunga Mbowe tukapigwa ban na wazungu CCM wote watamkimbia aachane na siasa za kijinga hizi. Mbowe angetaka kuwa gaidi angefanya 2015 wakati wa Lowasa, anaona sifa kumtesa mwenzake ila ajue kabisa kuna kiama chake. Siasa za wenzetu Wakenya hazina ujinga huu japo kuna ubabe ila sio wa kutesana hivi. Ngoja tuache amfunge halafu tuone atapata nini. Urais wenyewe kaupata kwa bahati ya mtende ngoja agombee tena atajuta. Nimemchukia sana huyu bibi leo.Mimi naomba Mungu amtendee kama Mwendazake,
Unawajua magaidi ww ama unaleta ujuaji maandazi hapa.Hakuna Cha laana wewe,kumwajibisha gaidi Ni moja ya thawabu kubwa sana kwa Mungu.
#Mbowe ni gaidi
Makamanda wako mbele ya Muda. T-shirt hizo wamezipata lini??👏👏👏Hawa watu kuanzia mwenyekiti wao wanaishi na nafsi zinazowatesa sana kwani wanajua kabisa kuna mtu wanamtesa, mtu asie na kosa wala hatia yoyote. Wanaumia na kuteseka sana wanapoona picha za Mbowe na wale washitakiwe wengine wanapoingia na kutoka mahakamani ila kwakuwa walishafanya kosa, hawana la kufanya bali kuishi na nafsi zinzowasuta.
Hivyo, ili wakwepa hii aibu, wanatamani sana kuona Mbowe anawapigia magoti jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana na ndion maana wanachukia sana kuona Mbowe anapongezwa kwa kusimama imara kutouza utu wake.
Anyway, muda ndio utathibitisha ni nani mnufaika wa kisiasa wa hii kesi.
View attachment 2123222
Tuendelee kumwaombea. Hayati tulimsihi sana lakini hakuwahi kusikiliza.SSH hawajui CCM vyema akimfunga Mbowe tukapigwa ban na wazungu CCM wote watamkimbia aachane na siasa za kijinga hizi. Mbowe angetaka kuwa gaidi angefanya 2015 wakati wa Lowasa, anaona sifa kumtesa mwenzake ila ajue kabisa kuna kiama chake. Siasa za wenzetu Wakenya hazina ujinga huu japo kuna ubabe ila sio wa kutesana hivi. Ngoja tuache amfunge halafu tuone atapata nini. Urais wenyewe kaupata kwa bahati ya mtende ngoja agombee tena atajuta. Nimemchukia sana huyu bibi leo.
Anyway, muda ndio utathibitisha ni nani mnufaika wa kisiasa wa hii kesi.
Mbowe anatembea kwenye ukweli na haki kamwe hawezi kuvisaliti kwa mateso anayopitia. Tuendelee kumuunga mkono na kumuombea sana kwa Mwenyezi Mungu.Hawa watu kuanzia mwenyekiti wao wanaishi na nafsi zinazowatesa sana kwani wanajua kabisa kuna mtu wanamtesa, mtu asie na kosa wala hatia yoyote. Wanaumia na kuteseka sana wanapoona picha za Mbowe na wale washitakiwe wengine wanapoingia na kutoka mahakamani ila kwakuwa walishafanya kosa, hawana la kufanya bali kuishi na nafsi zinzowasuta.
Hivyo, ili wakwepa hii aibu, wanatamani sana kuona Mbowe anawapigia magoti jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana na ndion maana wanachukia sana kuona Mbowe anapongezwa kwa kusimama imara kutouza utu wake.
Anyway, muda ndio utathibitisha ni nani mnufaika wa kisiasa wa hii kesi.
View attachment 2123222
Aombe msamaha kwa kosa lipi?Lkn Mbowe anaumia na hatujui anachokiwaza moyoni kwake. Yawezekana ukasikia kesho asubuhi amepiga magoti kuomba poo
Tatizo lipo kwa wafuasi wa Mbowe na watanzania wapenda demokrasia. Hivi imeshindikana kabisa kuliamsha dude mpk serikali na dola wakaomba poo???!
Kwa staili hii Mbowe atashikiliwa mpk uschaguzi mkuu wa 2025 upite
We ni mke wake?Hujui nature na history ya Mbowe - kaa chini kijana. Ndo nakwambia waambie na hao mnaofikiri Mbowe ni mwanasiasa msaka fursa - mmepotea.
Mkuu Jobo wapi? Mtemi wa bunge.We ni mke wake?
Kwani wanamshikilia kwa lipi? Kama wanamshikilia kwa uonevu na hawafanyi chochote, wanashindwaje kuendelea kumshikilia mpk aombe poo?Aombe msamaha kwa kosa lipi?