Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Wamekuzwa na mihogo wakija Dar bagaWengi wanapenda kuishi maisha ya starehe, hivyo hujikuta wakizama huko ili kukidhi haja zao
Mihogo kwani mibaya, watu wanafata mihogo Coco Beach.Wamekuzwa na mihogo wakija Dar baga
Bora hata huko wanalo bumu kuna huku vyuo vya kati hawana bumu hawana Mkopo kila kitu kinatoka mfukoni mwao yaani nivurugu,,,, saa kwann wasichana wasichane sketi zaoUmaskini , pesa ya bumu haitoshi hasa kwa wadada wanamatumizi mengi serikali ifanye mpango wawate 700k na sio 500k kwa girlz tu.
Ni kweli unacho sema mkuu, halafu kitu chengine kinacho changia mazingira ya vyuoni yamekaa kingono ngono sana sio wanaume sio wanawake hasa kwenye vyuo ambavyo kuna kozi nyepesi.Bora hata huko wanalo bumu kuna huku vyuo vya kati hawana bumu hawana Mkopo kila kitu kinatoka mfukoni mwao yaani nivurugu,,,, saa kwann wasichana wasichane sketi zao
Finally mtaaniNi kweli unacho sema mkuu , Alafu kitu chengine kinacho changia mazingira ya vyuoni yamekaa kingono ngono sana sio wanaume sio wanawake hasa kwenye vyuo ambavyo kuna kozi nyepesi.
Nilikuwa na demu wangu mwaka Jana ameanza chuo stela Mali's mtwara huko nikapga chini fasta haikupta week kampost mwambaNi kweli unacho sema mkuu , Alafu kitu chengine kinacho changia mazingira ya vyuoni yamekaa kingono ngono sana sio wanaume sio wanawake hasa kwenye vyuo ambavyo kuna kozi nyepesi.
Pole sana mkuu , wakimalizaga chuo wanarudi mpe muda tu.Nilikuwa na demu wangu mwaka Jana ameanza chuo stela Mali's mtwara huko nikapga chini fasta haikupta week kampost mwamba
Hayo ni maneno ya mtaani tu mzee huko vyuon hakuna wanaojiuza. Au ww umesoma chuo gan labda ??Huwa nashindwa kuelewa hii ni kwasababu gani? biashara ya NGONO imetawala vyuoni ukimwi vyuoni dah ni balaa zito.
Nini tatizo na nini chanzo mnategemewa kusema mnatafuta pesa za kutunza familia au ni vipi? Emu lete sababu tuwasaidie. Maana asilimia kubwa wanachuo wote ni watoto japo wengi wamevuka 18+
Hata kama wapo Hiyo sio sababu ya kujiuzaBora hata huko wanalo bumu kuna huku vyuo vya kati hawana bumu hawana Mkopo kila kitu kinatoka mfukoni mwao yaani nivurugu,,,, saa kwann wasichana wasichane sketi zao
Na wanachuo ndo wanaongoza kwa kula mihogoMihogo kwani mibaya, watu wanafata mihogo Coco Beach.
Unatetea. Ushahidi upo hizo connection za wakina nani?Hayo ni maneno ya mtaani tu mzee huko vyuon hakuna wanaojiuza. Au ww umesoma chuo gan labda ??
Na pia labda nikuongezee, saiz wanaojiuza wengi wanajinasibisha kwamba wao ni wanachuo, ndo mqana unaskia wanachuo wanajiuza ila sio ukweli.
Kujiendekeza tu, matumizi gani hayo kama sio tamaa tu.Umaskini , pesa ya bumu haitoshi hasa kwa wadada wanamatumizi mengi serikali ifanye mpango wawate 700k na sio 500k kwa girlz tu.