Wanachuo mnaosimama na kushikana shikana barabarani hamna mageto au pesa za kwenda gesti?

Wanachuo mnaosimama na kushikana shikana barabarani hamna mageto au pesa za kwenda gesti?

White drone

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
201
Reaction score
386
Kwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu mbalimbali wanapita, mfano pale UDSM main campus utawakuta magufuli hostel along Sam Nujoma road.

Swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka mademu zenu?
 
Kwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu mbalimbali wanapita, mfano pale udsm main campus utawakuta magufuli hostel along sam nujoma road.swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka madem zenu??
Huu ndiyo wakati wa wanafiki wa kiisiharamu kujidai wanachukia dhambi ila ni dhambi za wengine...siyo watendazo wao😁😁😁😁😁👉💩💩💩💩
 
Huu ndiyo wakati wa wanafiki wa kiisiharamu kujidai wanachukia dhambi ila ni dhambi za wengine...siyo watendazo wao😁😁😁😁😁👉💩💩💩💩
Hii haihusiani na uislamu wala ukristo ni tabia isiyopendeza katika jamii lazima tukemee bila kujali dini! All in all una uhakika alieleta huu uzi ni muislamu?
 
Hii haihusiani na uislamu wala ukristo ni tabia isiyopendeza katika jamii lazima tukemee bila kujali dini! All in all una uhakika alieleta huu uzi ni muislamu?
Tukemee ili ushoga uongezeke kama zanzibar ...licha ya kujidai waislamu sana wakadhibiti watoto wa kike matokeo yake wanafirana wanaume kwa wanaume.
 
Back
Top Bottom