cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Uongooo!!mambo ya kuiga uzunguni, wanachuo wanajikutaga sijui wapo jupiter. Ni kama wanajiona wao sio wenzetu, ila wakirudi kitaa wanaanza kulialia ovyo kama mandezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongooo!!mambo ya kuiga uzunguni, wanachuo wanajikutaga sijui wapo jupiter. Ni kama wanajiona wao sio wenzetu, ila wakirudi kitaa wanaanza kulialia ovyo kama mandezi.
Tobaaaa!! Kumekuchaaa!!Tukemee ili ushoga uongezeke kama zanzibar ...licha ya kujidai waislamu sana wakadhibiti watoto wa kike matokeo yake wanafirana wanaume kwa wanaume.
Yaan hadi nimeshangaa, katoa hoja dhaifu kabisaSo kuacha kukemea ni njia ya kuzuia ushoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongo sana.Kashapandishwa kizimbani huyo bado tu hukumu. Ila wanapenda sana kusimama barabarani, kuna mmoja nilikua nae majuzi namwambia twende mahali tulivu hatak anataka tusimame barabarani kama alama za usalama, nkabembeleza sana ndio akakubali.
Usinifanye nilete ushahidi wa convo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongo sana.
Haya sema huo ukweli ili huu uwe uongo.Uongooo!!
We nae umekaza shingo "uongo, uongo" uongozi institute wewe 😂Uongooo!!
Haya lete hapa nione.Usinifanye nilete ushahidi wa convo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaah.We nae umekaza shingo "uongo, uongo" uongozi institute wewe [emoji23]
Uongoo! [emoji23][emoji23][emoji23]Haya sema huo ukweli ili huu uwe uongo.
[emoji3]
Kwendra mwenyewe😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaah.
Unataka tu upate ubuyu, we amini ni hivyo ukibisha tena naleta ushahidi.Haya lete hapa nione.
Ndo leta hapa ushahidi, mie ni Thomaso.Unataka tu upate ubuyu, we amini ni hivyo ukibisha tena naleta ushahidi.
Mxxxxiiiieeew [emoji23][emoji23][emoji23]Kwendra mwenyewe[emoji23]
Cheki chap nafutaNdo leta hapa ushahidi, mie ni Thomaso.