Wanachuo mnaosimama na kushikana shikana barabarani hamna mageto au pesa za kwenda gesti?

Wanachuo mnaosimama na kushikana shikana barabarani hamna mageto au pesa za kwenda gesti?

Tukemee ili ushoga uongezeke kama zanzibar ...licha ya kujidai waislamu sana wakadhibiti watoto wa kike matokeo yake wanafirana wanaume kwa wanaume.
Tobaaaa!! Kumekuchaaa!!
 
Kashapandishwa kizimbani huyo bado tu hukumu. Ila wanapenda sana kusimama barabarani, kuna mmoja nilikua nae majuzi namwambia twende mahali tulivu hatak anataka tusimame barabarani kama alama za usalama, nkabembeleza sana ndio akakubali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongo sana.
 
Maigizo ya wafilipino na hollywood yamewaaribu. Mimi hata wife nishampiga marufuku, masuala ya kushikana na kukumbatiana uko barabarani sitaki. Tukiwa nje tutembee kwa heshima.
 
Back
Top Bottom