White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
- Thread starter
- #21
Kwa kweli mkuu wakikua wataachani utoto tu wanaishi maisha ya kwenye muvi
tuwaache ni wakati wao wa kujinafasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli mkuu wakikua wataachani utoto tu wanaishi maisha ya kwenye muvi
tuwaache ni wakati wao wa kujinafasi
Tukemee ili ushoga uongezeke kama zanzibar ...licha ya kujidai waislamu sana wakadhibiti watoto wa kike matokeo yake wanafirana wanaume kwa wana
So kuacha kukemea ni njia ya kuzuia ushoga?Tukemee ili ushoga uongezeke kama zanzibar ...licha ya kujidai waislamu sana wakadhibiti watoto wa kike matokeo yake wanafirana wanaume kwa wanaume.
Kama nini?Lakini mbona kama
Unaongelea majuha yapotezayo fedha na muda vyuoni na kuondoka yakiwa majuha?Kwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu mbalimbali wanapita, mfano pale UDSM main campus utawakuta magufuli hostel along Sam Nujoma road.
Swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka mademu zenu?
Mbona hipo wazi ni zaidi ya muislamu ni MUISIHARAMU KABISA ..YAANI NI WANAFIKI WA KIDINIHii haihusiani na uislamu wala ukristo ni tabia isiyopendeza katika jamii lazima tukemee bila kujali dini! All in all una uhakika alieleta huu uzi ni muislamu?
Sawa mkuuMbona hipo wazi ni zaidi ya muislamu ni MUISLAMU KABISA ..YAANI NI WANAFIKI WA KIDINI
Hakika ni majuhaUnaongelea majuha yapotezayo fedha na muda vyuoni na kuondoka yakiwa majuha?
Ndiyo... kasome ndani ya uislamu nabii Ruth aliwaambia wale watu wa sodoma na gomora, waliokuja kuwafira malaika kuwa ni bora awape watoto wake wa kike kuliko kuwaingilia wanaume wenzao....sasa jiulize je hekima ya nabii ilikuwa ni ya kipumbavu kuliko hekima yako wewe shekhe mandaziSo kuacha kukemea ni njia ya kuzuia ushoga?
Yeah hatuna magneto 😃Swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka mademu zenu?
😂Engine zinakuwa chemka vizuri kwahiyo wanachama heater sioWanatafuta stata kwanza
Kashapandishwa kizimbani huyo bado tu hukumu. Ila wanapenda sana kusimama barabarani, kuna mmoja nilikua nae majuzi namwambia twende mahali tulivu hatak anataka tusimame barabarani kama alama za usalama, nkabembeleza sana ndio akakubali.Wanazingua sana, leo nimepita karibu yao nasikia demu anahema juu juu sijyi alikuwa kashikwa wapi
Picha iko wapiKwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu mbalimbali wanapita, mfano pale UDSM main campus utawakuta magufuli hostel along Sam Nujoma road.
Swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka mademu zenu?
uu UJUE kuna mwenzaaaoo ANALIWA bwennini aama ANAKULA mzigoKwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu mbalimbali wanapita, mfano pale UDSM main campus utawakuta magufuli hostel along Sam Nujoma road.
Swali langu ni kwamba hamna mageto ya kuwapeleka mademu zenu?
Uwapeleke kwenuLeo sijawachukua ila ipo siku nitawachukua
Wewe kweli sa 7 mchana 😹😹😹Wanatafuta stata kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiWengine wanazo mkuu unakuta kidada kinahema kama kimetoka kukimbia mbio fupi