Wanafamilia tushikane mikono

Puna

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
2,551
Reaction score
4,454
Ni kitabu chenye page 50 chenye mkusanyiko wa jumla ya Hadithi 16.Ambazo zinaweza kusomwa na watu wazima na Watoto.Hadithi zenye lengo la Kuburudisha,kuonya,kukosoa na kurekebisha tabia.
Kitabu hiki kimetumia lugha rahisi inayoeleweka kwa mtoto hata akisoma mwenyewe au kusomewa na Mzazi.
Kitabu kinapatikana Dar es salaam Bookshop Posta na Mtaa wa Muhonda na Likoma uliza kwa Rama White.
NB.Tuwarudishe wanetu kule tulikopita Hili wawe watu bora.
 
Hongera sana nitakusapoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…