Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,551
- 4,454
Kitabu hiki kimetumia lugha rahisi inayoeleweka kwa mtoto hata akisoma mwenyewe au kusomewa na Mzazi.
Kitabu kinapatikana Dar es salaam Bookshop Posta na Mtaa wa Muhonda na Likoma uliza kwa Rama White.
NB.Tuwarudishe wanetu kule tulikopita Hili wawe watu bora.