Wanafamilia wanaopiga magoti kusali pamoja wanauwezekano mdogo sana wa kugombana hovyo

Wanafamilia wanaopiga magoti kusali pamoja wanauwezekano mdogo sana wa kugombana hovyo

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kugombana kwa wanandoa ni jambo la kiroho na linamalizwa kiroho.
Baba na mama wanaosali pamoja kabla ya kulala au asuhubi kabla ya kutawanyika wanajiweka katika uwezekano mkubwa wa kutogombana hovyo.

Kuna majini maalumu kwa ajili ya kuchafua ndoa (demons of strife).
Unapoendelea kuchochea onbwe la kiroho kati yako na mwezi unayapa nguvu kuchochea tofauti zenu na kuhafifisha kabisa vinavyowaunganisha.

Ni hayo tu.
Salini hata kwa kupapasa, matokeo utayaona kwa ghafla.

Barikiweni
Mtumishi Matunduizi
 
Ni hofu inayowafanya wasigombane, dini zimetuletea hofu hasa hofu ya moto wa milele. Wanaogopa kusema ukweli ili waonekane wema katika jamii. Mimi nakataa dini, dini ni umasikini.
 
Ni hofu inayowafanya wasigombane, dini zimetuletea hofu hasa hofu ya moto wa milele. Wanaogopa kusema ukweli ili waonekane wema katika jamii. Mimi nakataa dini, dini ni umasikini.
Dini ya hofu wa moto ni utumwa. Dini ya kumpenda Mungu kama baba mzazi ni tamu sana.
 
Back
Top Bottom