Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA), Dkt. Said Mohamed amesema masomo yatakayotahiniwa ni Sita ambayo ni Kiswahili, English, Sayansi na Teknolojia, Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi na Uraia na Maadili