ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Aisee pamoja na Juhudi za Serikali kupanua Elimu ila school dropout inazidi kuongezeka
Wanafunzi takribani 330,000 ni wengi sana kuacha shule Kwa mwaka mmja tuu.
www.jamiiforums.com
Hali ni mbaya zaidi Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kigoma.Kwa Hali hii Mbulula hawatakuja kuisha hapa Tanzania. Nini kifanyike iki kuokota kizazi Hiki?
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1703840973652955281?t=hzgeZVAkwv2l9gwYiVfcUg&s=19
Wanafunzi takribani 330,000 ni wengi sana kuacha shule Kwa mwaka mmja tuu.
Kigoma: Nusu ya wanafunzi hawajafanya mtihani wa Darasa la Saba, utoro watajwa
Hali hii inasikitisha sana, yaani nilidhani Wazazi walishabadilika kumbe Bado watu wanaona Elimu Haina maana hadi leo hii, duu. My Take: Kwa Hali hii, sidhani kama kuna siku wajinga watakuja kuisha hapa Tanzania. ======== KIGOMA; WAKATI wanafunzi wa darasa la saba wakimaliza mtihani wa elimu...
Hali ni mbaya zaidi Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kigoma.Kwa Hali hii Mbulula hawatakuja kuisha hapa Tanzania. Nini kifanyike iki kuokota kizazi Hiki?
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1703840973652955281?t=hzgeZVAkwv2l9gwYiVfcUg&s=19