Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Hehehhe asante!Hilo la jinsia sioni ubaya wake maana hamna anaejua walikua wanafanya nini....labda nia yao ilikua mapumziko tu na hilo halina ubaya wowote.Ila kitendo cha kujirundika kwenye chumba ambacho ni kwaajili ya watu wawili tu au watatu ni kosa.mkwe umetoka lupangohaya tuendelee kwa hiyo hapo unasema tatizo ni kulala wengi chumba kimoja ama swala lajinsia..unavyomaanisha ingekuwa meneja wa hotel kalalama sawa ila ni hawa punguani wetu watoto wa mh mwema ndio wamelianzisha nadhan na hawa askari wanatakiwa kupimwa akili kabisa