Wanafunzi Dar na Dharau kwa Wakubwa Wao

Ifike mahali hao wanaoitwa Wakubwa, wazee, wajawazito, walemavu na wamama wenye watoto wawe wanaangalia na gari za kupanda. Utakuta gari zipo foleni, inayopakia ishajaa inaanza kuondoka anakuja mjamzito au mzee anapanda anasimama halafu anaanza kutia huruma akiwa kasurubiwa. Ifikie mahali kama unajijua una watoto au mtoto na umekwenda mahali, jitahid urudi mapema kabla ya mida ya tabu za usafiri hapa mjini haujaanza.
 
[emoji23] ndio maana wanapata mimba
 

Mimi naona wote wana makosa. Huyo Mama alipaswa kukaa kimya Mwanafunzi ajiongeze mwenyewe kama ana adabu au ampishe yeye. Kuna vitu vingine ni vya kuacha tu, hivi kweli Wanafunzi wa Dar wanavyohangaika na usafiri mara Konda amsukume, wengine wakishaona wanafunzi hawasimami leo kapata siti unamwambia simama umpishe Mzee!! Kweli, na hapo ukute ni busy hours gari hazitembei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…