Wanafunzi kushambulia kwa mawe Ofisi za Mtaaluma Shule ya Sekondari Nyiendo wilayani Bunda kunatoa taswira gani kwa walimu na wanafunzi shuleni hapo?

Red card zihusike, hapo wakilea upuuzi watavuna wendawazimu.

Fukuza wote waliohusika na ujinga huo bila huruma wala busara au hekima warudi kwao wakawarushie wazazi wao hayo mawe.
Red card na wamebakiza wiki Moja tu wafanye mtihani wao wa kuhitimu

Hapo kama kuna hasara wamesababisha adhabu mbadala labda ni kuzuia leaving, results slip na vyeti Kwa wanafunzi wote wa kidato cha nne mpaka pale watakapolipa fidia ya uharibifu
 
Red card na wamebakiza wiki Moja tu wafanye mtihani wao wa kuhitimu

Hapo kama kuna hasara wamesababisha adhabu mbadala labda ni kuzuia leaving, results slip na vyeti Kwa wanafunzi wote wa kidato cha nne mpaka pale watakapolipa fidia ya uharibifu
Hata wangekuwa wamebakiza mtihani mmoja wakifanya ujinga kama huo ni kufukuza tu.


Dawa ya moto ni moto.
 
Si kweli wanafunzi walikuwa na njaa kama wanavyodai, huu ni mpango uliopangwa na wazazi pamoja na wanafunzi wenyewe wawe wanatoka mapema ili waweze kurudi nyumbani kusaidia wazazi wao kulima na kuvuna bangi na mihadarati mingine.
 
Mwalim tumeona ujumbe wako. Simmering haki
 
Red card na wamebakiza wiki Moja tu wafanye mtihani wao wa kuhitimu

Hapo kama kuna hasara wamesababisha adhabu mbadala labda ni kuzuia leaving, results slip na vyeti Kwa wanafunzi wote wa kidato cha nne mpaka pale watakapolipa fidia ya uharibifu
Siyo lazima wafanye wakiwa shuleni, km wametenda jinai wakihurumiwa saaaaana watafanyia gerezani. Vitoto vya sku hizi ni vitovu vya nidhamu sn hata kwa wazazi wao. Kichwani penyewe peupe wanafauli kimtindo tu ingekuwa kipindi chetu Pepa tulizokuwa tunafanya Tena ktk nyakat ngumu, no tuition, no enough books, pamphlet lenyewe kulipata ilikuwa mbinde, shule zilikuwa umbali mrefu sn zaidi ya 10-30 na tulitembea kwa mguu au baiskeli lakini tulipasua Pepa kwa viwango vya kimataifa. Hawa wa sasa wanajua ngono tu na kuvaa milegezo but most of them are empty.
 
Walimu wa kizazi hiki sijui Mana matatizo gani, mmeacha kufundisha watoto wetu mmegeukia uripota na ushabiki maandazi
 
Wangeweza kuondoka pasi na kurusha mawe kwenye ofisi(kuharibu Mali za shule )
Hapo kama Kuna kilichoharibika ni wajiandae na malipo
Afrika kila kitu ni ukatili. Ndiyo maana tunakuja kuwa na viaongozi wasio na empathy. Hao walimu wana ubongo wa nguruwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…