Waswahili wanasema ukishikwa shikamana. Ukitusubiri kina sisi hadi tuelewe kadhia yako unaweza kuwa marehemu kabla ya kupata usaidizi.
Mwakyembe kasema yake:
Majaji wameunda tume Yao.
Nyie tume yenu iko wapi? Tume yenu si ndiyo ingekuwa forum nzuri ya kupeleka majumuisho ya shauri lenu?
Mnapaswa kupeleka maoni. Nyuzi lukuki zinayo mawazo mazuri tu.
Anataka maoni mengi mpelekeeni nyuzi yapo makumi elfu ya maoni kwenye nyuzi hizo.
Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Angalizo: Kutokea University of Nairobi wasaliti ni pamoja na wasiokuwa na ndoo za mawe hata kwenye baraza.
Mwakyembe kasema yake:
Majaji wameunda tume Yao.
Nyie tume yenu iko wapi? Tume yenu si ndiyo ingekuwa forum nzuri ya kupeleka majumuisho ya shauri lenu?
Mnapaswa kupeleka maoni. Nyuzi lukuki zinayo mawazo mazuri tu.
Anataka maoni mengi mpelekeeni nyuzi yapo makumi elfu ya maoni kwenye nyuzi hizo.
Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Angalizo: Kutokea University of Nairobi wasaliti ni pamoja na wasiokuwa na ndoo za mawe hata kwenye baraza.