Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mzee mmja ni wakili wakati wao alifanya mtihani wa board ya mawakiliAhsante kwa taarifa...
Kwanini huko chini hawakufeli mpaka waje wafeli Law school?nasema na narudia tena kusema kuwa wanafunzi hawataki kusoma kwa bidii, na hata hao wanao soma basi wanakariri tu sio kuelewa.
tatizo linaanzia nyuma kabisa;
Elimu ya msingi kama ilikuwa ovyo, Sekondari walimu magumashi, chuo kikuu ufanganyifu na ngono mwisho wa siku matokeo ya Law school ni kufeli tu
huko chini walikuwa wanachiti wengine walikuwa wanatumia miili yao ili kufaulu sasa wanapo fika juu wanakutana na vizingiti lazima wadunde.Kwanini huko chini hawakufeli mpaka waje wafeli Law school?
Huko wanapochiti ni taasisi zilizosajiliwa na nani?huko chini walikuwa wanachiti wengine walikuwa wanatumia miili yao ili kufaulu sasa wanapo fika juu wanakutana na vizingiti lazima wadunde.
ndio maana tulikuwa tunasikia rushwa ya ngono imetamalaki vyuo vikuu.
Huko wanapochiti ni taasisi zilizosajiliwa na nani?
Mkuu unawashauri vizur mno lakini wanashaurika! Prof. Chachage ( RIP) tukiwa tunafanya mgomo tulimkuta anafundisha Nkuruma Hall alikatisha kipindi pale mlangoni akatwambia " mnayo haki ya kugoma, ukiona mwanafunzi wa chuo kikuu anasoma miaka mitatu bila kugoma ujue haelewi au ana kariri" sasa hawa wa siku hizi kila mtu na lake miaka ile nchi ingetikisik hii weWaswahili wanasema ukishikwa shikamana. Ukitusubiri kina sisi hadi tuelewe kadhia yako unaweza kuwa marehemu kabla ya kupata usaidizi.
Mwakyembe kasema yake:
View attachment 2392634
Majaji wameunda tume Yao.
Nyie tume yenu iko wapi? Tume yenu si ndiyo ingekuwa forum nzuri ya kupeleka majumuisho ya shauri lenu?
Mnapaswa kupeleka maoni. Nyuzi lukuki zinayo mawazo mazuri tu.
Anataka maoni mengi mpelekeeni nyuzi yapo makumi elfu ya maoni kwenye nyuzi hizo.
Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Angalizo: Kutokea University of Nairobi wasaliti ni pamoja na wasiokuwa na ndoo za mawe hata kwenye baraza.
Niliwahi kusema wanafunzi wa law school wengi wao ni vilaza wa kutipwa kabisaa.