Wanafunzi Law School kulikoni kushindwa kujisimamia

Kwa hili la kuwashirikisha wadau mbalimbali na kutoa nafasi kwa vijana namsifu Dr. Harrison Mwakyembe
 
Wanafunzi wengi vichwa maji weupe kichwani

Ova
 
nasema na narudia tena kusema kuwa wanafunzi hawataki kusoma kwa bidii, na hata hao wanao soma basi wanakariri tu sio kuelewa.
tatizo linaanzia nyuma kabisa;
Elimu ya msingi kama ilikuwa ovyo, Sekondari walimu magumashi, chuo kikuu ufanganyifu na ngono mwisho wa siku matokeo ya Law school ni kufeli tu
 
Kwanini huko chini hawakufeli mpaka waje wafeli Law school?
 
Kwanini huko chini hawakufeli mpaka waje wafeli Law school?
huko chini walikuwa wanachiti wengine walikuwa wanatumia miili yao ili kufaulu sasa wanapo fika juu wanakutana na vizingiti lazima wadunde.

ndio maana tulikuwa tunasikia rushwa ya ngono imetamalaki vyuo vikuu.
 
huko chini walikuwa wanachiti wengine walikuwa wanatumia miili yao ili kufaulu sasa wanapo fika juu wanakutana na vizingiti lazima wadunde.

ndio maana tulikuwa tunasikia rushwa ya ngono imetamalaki vyuo vikuu.
Huko wanapochiti ni taasisi zilizosajiliwa na nani?
 
Mkuu unawashauri vizur mno lakini wanashaurika! Prof. Chachage ( RIP) tukiwa tunafanya mgomo tulimkuta anafundisha Nkuruma Hall alikatisha kipindi pale mlangoni akatwambia " mnayo haki ya kugoma, ukiona mwanafunzi wa chuo kikuu anasoma miaka mitatu bila kugoma ujue haelewi au ana kariri" sasa hawa wa siku hizi kila mtu na lake miaka ile nchi ingetikisik hii we
 
Niliwahi kusema wanafunzi wa law school wengi wao ni vilaza wa kutipwa kabisaa.
 
Niliwahi kusema wanafunzi wa law school wengi wao ni vilaza wa kutipwa kabisaa.

Wanafunzi wanakuwa vilaza wakienda law school tu? Kwa nini kilaza usiwe wewe ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…