A
Anonymous
Guest
Tunaomba waziri wa sayansi na elimu ya juu na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) mtusaidie tuweze kupata wahadhiri wa kutufundisha masomo ya tiba kwa njia ya vitendo ngazi ya shahada ya kwanza ( occupational therapy) katika chuo kikuu MUHAS.
Tangu chuo kifunguliwe hatujaanza kusoma masomo hayo , tunaambiwa walimu watakuja ila hatuwaoni wakati mwisho wa muhula unazidi kukaribia.
Kwakweli ada tumelipa ila hatupati haki ya kufundishwa kama inavyotakiwa kuwa.
Tunaomba kuwasilisha.
Tangu chuo kifunguliwe hatujaanza kusoma masomo hayo , tunaambiwa walimu watakuja ila hatuwaoni wakati mwisho wa muhula unazidi kukaribia.
Kwakweli ada tumelipa ila hatupati haki ya kufundishwa kama inavyotakiwa kuwa.
Tunaomba kuwasilisha.