mashuka collection
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 608
- 1,409
Kama hautaki mtoto wako achapwe baki nae nyumbani.Mwanangu alirudi nyumbani siku moja huku akiongea kusema "Ile shule siitaki , usiponihamisha siendi tena"
Imagine mtoto wa darasa la kwanza Mwalimu anamwadhibu kwa kumpigisha ukutani...
Kwa maelezo haya mfundishe mwanao wewe mwenyewe Kwa masomo ya darasa la Kwanza yatakushinda?Mwanangu alirudi nyumbani siku moja huku akiongea kusema "Ile shule siitaki , usiponihamisha siendi tena"
Imagine mtoto wa darasa la kwanza Mwalimu anamwadhibu kwa kumpigisha ukutani....
Wazazi wanyakati hizi mmekuwa waovyo Sana, mnawadekeza hao wakina junior mwisho wasiku mnarudi humu kuomba ushauri kuwa watoto wamewashindaMwanangu alirudi nyumbani siku moja huku akiongea kusema "Ile shule siitaki , usiponihamisha siendi tena"
Imagine mtoto wa darasa la kwanza Mwalimu anamwadhibu kwa kumpigisha ukutani...
Eti eeehh wazungu hawana maadili.Hawa wenzetu tunaoona hawana maadili ndio wanatuzidi kila kitu... Uvumbuzi etc.
Ajabu sana.ππ
Wazee hatuna mambo mengi Mkuu π€Kama unajali basi Vyema
Mungu akubariki.
Wewe ulipata ngapiMathematics O level nimefundishwa na Mzungu, ni mmarekani. Anasema kule darasa zima wanapata One na ikitokea mtoto ka loose basi ana tw...
Kweli kabisa huko Marekani si ndo watoto wanakwenda na bunduki kuuwa wenzaoHiyo chuki yako hadi kuandika uzi wenye maneno ya kudhalilisha waalimu imevuka mipaka. Kama kuna shida mahali malizana na mwalimu katika namna sahihi ila sio kuwaona kuwa ni mataahira.
Kusema kwamba wanafunzi wasichapwe viboko ni upumbavu tunaoweza kujutia baadae. Huko Marekani vijana ni kama wameshachanganyikiwa kwa tabia za hovyo hasa wale black. Sisi tuko sahihi kulinda maadili yetu. Ukikereka zaidi hamishia mtoto wako London.
Kwa primary kama umejaliwa kauwezo, mpeleke mtoto English Medium apate msingi wa kiingereza.Mwanangu alirudi nyumbani siku moja huku akiongea kusema "Ile shule siitaki , usiponihamisha siendi tena"
Imagine mtoto wa darasa la kwanza Mwalimu anamwadhibu kwa kumpigisha ukutani.
Hilo nikamtuma wife akaongee na mwalimu aliyefanya huo ujinga likaisha. That was January.
Maisha ya shule huyu mwanangu yanaendelea vizuri.
Majuzi kachapwa kwa kutokufanya zoezi na utoro huku mwanangu hana trend ya utoro. Ilikuwa mistake tu ya utoto aliandika zoezi karatasi ya nyuma badala ya mbele. Akiona uwazi kwenye daftari kwa nyuma huwa anatumia huo uwazi. Sasa mwalimu hakuona zoezi la jana na kuhesabu tu kuwa mtoto hajafanya kazi ya Jana.
Nimeongea na mwanangu kuwa asiandike nyuma sasa hata kama ameacha karatasi isiyo na maandishi.
Sasa hata ingekuwa ni kweli mtoto hajafika shule au alifika lakini hajaandika ni sahihi umchape?
Enzi hizi bado walimu wanaendelea kuchapa watoto?
Walimu mpaka kesho hawajui kuwa mabosi zao sio maafisa elimu, madiwani na ma DED bali wanafunzi.
Je, kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumchapa boss wake?
Kama watoto ni wasumbufu hiyo haiwapi uhalali wa kuwachapa watoto ni aina ya maboss waliowachagua , wawahudumie vivyo hivyo.
Shule za serikali zinaongoza kwa kuzalisha watoto vilaza kwakuwa walimu hawajagundua kuwa wanafunzi ndio maboss wao.
Wanafunzi na walimu ni kama maadui.
Ulisoma Pugu kajiungeni?Kwenye shavu nina alama nilifinywa na mwalimu Mlekwa nikiwa darasa la kwanza mpaka leo ipo.
Tiba ya Wenzetu imeanzia Nyumbani.Hakuna kitu Wazungu wametupita kama kulea Familia,tuachane na Series au Movies hizo.Mathematics O level nimefundishwa na Mzungu, ni mmarekani. Anasema kule darasa zima wanapata One na ikitokea mtoto ka loose basi ana two.
Adhabu ya viboko waliiondoa kwakuwa ni utumwa.
Je, kati ya nchi hii ya mafimbo na US ni nchi ipi ina wasomi bora?
Hizi shule za kata ambazo walimu wanashindana kupiga fimbo ukitazama matokeo ya form four ni uchafu mtupu
Karibu Bongo,tuliotaka kuwa Marubani mambo yakagoma.Kumbe ulipenda Masomo ya hela hela tu π
Binafsi nilipenda Sayansi na nilifanikiwa kusoma Sayansi(Engineering ) ambayo inasaidia kusolve matatizo ya Jamii hapa Bongo
Japo ningeendaga kusoma vyuo vya mbele huko huenda ningekuwa best Engineer kuliko ilivyo sasaπ₯²
Hii Nchi inaua ndoto za Vijana wengi tuKaribu Bongo,tuliotaka kuwa Marubani mambo yakagoma.
Sasa hivi tunaendesha ndege watuπππππ
Tutafute pesa Watoto wetu wasipite hapo.Hii Nchi inaua ndoto za Vijana wengi tu
Watu walikuwa na ndoto ya kuwa Madaktari wanaishia kuwa waendesha Bodaboda π