Ambonisye Manandi
Member
- Jan 19, 2018
- 7
- 5
Diwani wa kata ya Kyimo na mkuu wa shule ya Sekondari Kyimo wamefanya mkutano leo tarehe 23/01/2018 na wazazi wenye wanafunzi hapo shuleni wakilazimisha kuchangia TZS. 70,000/= kwa ajili ya chakula wakati wa muda wa masomo.
Pia wametaka michango TZS 10,000/= kwa kila mwanafunzi kama malipo ya mwalimu wa kujitolea, pia michango ya madawati imewekwa kiporo ila imependekezwa kila mwanafunzi kuchangia TZS 25,000/=.
Pia wametaka michango TZS 10,000/= kwa kila mwanafunzi kama malipo ya mwalimu wa kujitolea, pia michango ya madawati imewekwa kiporo ila imependekezwa kila mwanafunzi kuchangia TZS 25,000/=.