Tetesi: Wanafunzi shule ya Sekondari Kyimo waambiwa kuchangia pesa za chakula, madawati na mwalimu wa kujitolea

Tetesi: Wanafunzi shule ya Sekondari Kyimo waambiwa kuchangia pesa za chakula, madawati na mwalimu wa kujitolea

Chakula ni kwa ajili ya watoto wao wenyewe, serikali haitoi pesa wala haina shamba kulisha wanafunzi, waacheni wazazi wajiletee maendeleo yao wenyewe!

Unasema Elimu Bure halafu wewe mtoto wako umempeleka Feza au Marian!

Kwanini watoto wale chakula shuleni?

Kuna baadhi ya maeneo watoto inabidi watembee umbali mrefu ili kuifikia shule, wakati huo huo hana uhakika wa kula mchana mahali popote.

Wazazi kuchangia chakula ni wajibu wao.
Kikao kimefanyika leo 23/1/2018 na kaazimia sh.10,000 mwl wa kujitolea shule nzima?? Na ,70,000 chakula na hili la kipolo 25000 dawat??? Jamani mkuu wa shule umeponzwa kwenye siasa tena kwani hujasikia agizo la RAIS????
 
Wachangie tu hakuna jinsi!

Hivi kama hakuna madawati watoto wakae wapi?

Kama hakuna mwl wa somo husika wanafunzi wakae na kujisomea wenyewe?

Chakula ni cha kwao nani awanunulie?

Kinachotakiwa hapo ni utaratibu gani utumike kuchangia pamoja na usimamizi wake. Pia mwanafunzi asipate usumbufu wowote, akae darasani asome, wazazi wapambane wenyewe kwa wenyewe.

Maendeleo yataletwa na sisi wenyewe sio serikali.
 
Kikao kimefanyika leo 23/1/2018 na kaazimia sh.10,000 mwl wa kujitolea shule nzima?? Na ,70,000 chakula na hili la kipolo 25000 dawat??? Jamani mkuu wa shule umeponzwa kwenye siasa tena kwani hujasikia agizo la RAIS????
Shule ina watoto wangapi?

Mwl wa kujitolea analipwa kiasi gani kwa mwezi?

Hiyo 70k ya chakula ni kwa muda gani na aina gani ya chakula?
 
Chakula ni kwa ajili ya watoto wao wenyewe, serikali haitoi pesa wala haina shamba kulisha wanafunzi, waacheni wazazi wajiletee maendeleo yao wenyewe!

Unasema Elimu Bure halafu wewe mtoto wako umempeleka Feza au Marian!

Kwanini watoto wale chakula shuleni?

Kuna baadhi ya maeneo watoto inabidi watembee umbali mrefu ili kuifikia shule, wakati huo huo hana uhakika wa kula mchana mahali popote.

Wazazi kuchangia chakula ni wajibu wao.
Umeongea vizuri
 
Diwani wa kata ya Kyimo na mkuu wa shule ya Sekondari Kyimo wamefanya mkutano leo tarehe 23/01/2018 na wazazi wenye wanafunzi hapo shuleni wakilazimisha kuchangia TZS. 70,000/= kwa ajili ya chakula wakati wa muda wa masomo.

Pia wametaka michango TZS 10,000/= kwa kila mwanafunzi kama malipo ya mwalimu wa kujitolea, pia michango ya madawati imewekwa kiporo ila imependekezwa kila mwanafunzi kuchangia TZS 25,000/=.


PALE AMBAPO BABA HATOI ELA YA MATUMIZI LAKINI ANATAKA WATOTO WALE NA AKIRUDI AKUTE UGALI NA MAJI YA KUNAWA MIKONO, MAMA LAZIMA AJIONGEZE TU.
 
Elfu 70 wewe ndio unaona hela ya kula mwaka au? Watu msio na majukumu ndio mnashangilia ujinga wa kuondoa hata michango ya muhimu shuleni!!
Ni jambo la ajabu hili! 70k ya kula mwaka mzima anaona ni pesa kubwa sana. Fanya mahesabu rahisi tu, kwa siku mzazi anampa kiasi gani mtoto wake kwa ajili ya chakula shuleni? Je kwa mwaka wa masomo una siku ngapi?
 
Mtoto wangu anasoma Tanga Technical ni ya serikali sijawahi kuchangishwa hata senti tano.
Tanga Tech ni shule kubwa ile, wana ruzuku ya kutosha na pia wale wa A level wanalipa ada na michango hvyo wadogo zao wanaupatia humo humo.

Hujawahi kuchangishwa lakini unampatia mwanao pocket money
 
Shule ina watoto wangapi?

Mwl wa kujitolea analipwa kiasi gani kwa mwezi?

Hiyo 70k ya chakula ni kwa muda gani na aina gani ya chakula?
kuna.watu wa.ajabu sana hana ufafanuzi wowote kakimbilia kuleta umbea.huku halafu waweza kuta ni Baba jitu zima ma midefu halaf halina akili.
 
Wenzenu kutoka ktk mikoa iliyo kwisha songa mbele kielimu wanachangia bila kelele kwa sababu wanaelewa umuhimu wa mtoto kupata elimu nyie mnataka mzae watoto wengi elimu walipiwe kodi zetu. Pascal Mayala akiwaeleza ukweli mnaanza ubishi.
 
Hata ukiandika kiushabiki, yapo mambo ambayo hayazuiliki. Akiisha peleka pesa ya chakula mashuleni nadhani itakuwa dhambi kuchangishana.
Mziwaharibie masomo watoto wetu kwa siasa za kitoto. Mwalimu akichangisha fedha za kumlisha nyumbani kwake hata mimi nitapinga ila hela ya mtoto wako kuila mwenyewe huku akipata masomo nadhani ni ujinga kuipinga.
 
Hivi kwanini wanalazimisha hii michango!! Si wawaache!!!
 
kuna.watu wa.ajabu sana hana ufafanuzi wowote kakimbilia kuleta umbea.huku halafu waweza kuta ni Baba jitu zima ma midefu halaf halina akili.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mambo ya chakula ma mwalimu wa ziada ni muhimu. Sasa usipochanga halafu watoto wako wakashindwa kusoma baadhi ya masomo hasara ya nani?
 
Wakuu wa shule wengi wanahitaji elimu,jukumu la michango waziachie serikali za mitaa na kata baada ya kutoa taarifa ya mapungufu yaliyopo shuleni kwenye kamati.

Lakini kwa vile waalimu wetu tz walishageuka tra acha yapukutishwe.
 
Mpiga marufuku yeye aliangalia upande wake tu kulinda maslahi yake ya kura 2020. Hizo side effect yeye haimhusu na hajui kuwa wanafunzi hula shuleni kwa ruzuku ya wazazi na si serikali. Wenye watoto mashuleni hizi tamko ni kuua elimu, changanyeni na zenu
 
Back
Top Bottom