Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Ujinga wako huo!!Mtoto wangu anasoma Tanga Technical ni ya serikali sijawahi kuchangishwa hata senti tano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wako huo!!Mtoto wangu anasoma Tanga Technical ni ya serikali sijawahi kuchangishwa hata senti tano.
Mbeya wanajua maana ya Elimu, sisi huku ambao tunataka kuwaoza watoto wetu ndio balaha.Huyo Diwani watampiga ngumi kabla ya kumfukuza kazi
Momumo nkamu, bhapimbee imbinyila sya masimbiAcheni kutoa, wafungueni watoto wenu "mbalagha" na "makasokela" wakiwa wanaenda shule...
Hakuna tatizo hapo! Tatizo wazazi/walezi wengi ni vichwa maji, wanapenda mteremko. Hawaelewi waraka namba 2.Kikao kimefanyika leo 23/1/2018 na kaazimia sh.10,000 mwl wa kujitolea shule nzima?? Na ,70,000 chakula na hili la kipolo 25000 dawat??? Jamani mkuu wa shule umeponzwa kwenye siasa tena kwani hujasikia agizo la RAIS????
Ni rahisi kuropoka kwa kuwa haupo field!!! Usamehewe bure. Ahsante kwa kuonyesha ulivyo mweupe kichwani.Wakuu wa shule wengi wanahitaji elimu,jukumu la michango waziachie serikali za mitaa na kata baada ya kutoa taarifa ya mapungufu yaliyopo shuleni kwenye kamati.
Lakini kwa vile waalimu wetu tz walishageuka tra acha yapukutishwe.
Wewe naye wa ajabu yaani 70,000 ya chakula kwa mwaka mzima unasema kuna upigaji?!!!mbona shule nyingi za kata ambazo zipo vijijini wazazi wanachangia gunia moja la mahindi tu mwaka mzima?Wazazi eleweni serikali haina pesa ajiri ya chakula cha watoto wenu sema hapo kuna harufu ya wizi elfu 70 y'all chakula cha miaka mingapi minne au hapo kuna upigaji