Mtoa mada umenichefua sana, umekurupuka au umeamua kuficha ukweli ili upate sapoti, watu wana akili zao humu na mbaya zaid inaonesha hata wanakijiji wenzako hapo wamekuzid akili, umefcha kusema shule inawanafunz wangap? 70k kwa mda gani? Mwl mmoja wa kujitolea analipwa sh ngap? Walimu wa kujitolea wapo wangap? Shule inaupungufu wa madawat kwa kiwango gan? 10000 kwa mda gani?, majibu yote unayo na unajua ni halali ndo mana huweki hapa hicho ulichoficha, endelea kupigania wanao kushnda njaa na aishie kusoma kiswahili na history a.k.a fuvu mpaka amalize halaf baadae ulete sharubu zako zenye mvi humu kuomb ushauri wa je mwanao areseat(PC) au arudie 4m2? Au hata nafas akose upishane nae mlango wa chooni na kiduku mpk cha ndevu, Huku mwenzako yupo awamu ya pili ya uongozi wake akifurahia kauli yake ilifanikiwa na mwanae aliyesomea feza yupo nje, shda zote zitakazo mwandama mwanao na uzao wake zitakufuata wewe popote. BTW shkamoo hii ni Jf.