A
Anonymous
Guest
Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka.
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa