Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
😅😅Watu kama wewe hamkupaswa kufika chuo kikuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Watu kama wewe hamkupaswa kufika chuo kikuu.
Wengi mnaweza kucomment kulingana na hosteli mlizowahi kuishi ama uzoefu, binafsi nadhani cha msingi hapa nikuangalia mkataba unasemaje? MIMI nimekutana na scenerio kama hiyo kwa kijana ambaye namsponsor na anasoma kwenye chuo cha MNRT Arusha. Joining instructions inasema hostel ni shilingi elfu 50 kwa mwezi. Huyu binti aliiingia chuoni kwa second selection kutokana na makosa ya kuomba kujiunga na chuo, ambapo kwa kuwa anatarajia kusoma miaka miwili aliomba kupitia online na kumbe hii online ni kwa ajili ya form six hivo mfumo ukamtema.Vijana mbona mnapenda kukichafua chuo bila sababu za msingi??msomi gani unakurupuka ?? Au ni first year wewe.
Chumba unachokaa kwa siku ni 750 tsh hiyo pesa zidisha na muda utakaa kaa kipind chote cha masomo ndio inakuja hiyo pesa ya hostel bila kuwepo mambo ya likizo ......umekosa nauli ya kurud kwenu kotokana na umasikin wenu na umasikini wako wa akili chuo kimekuhurumia sehemu ya kulala ambayo ni ( 750× likizo siku7 ) wastani wa 5200 kwa punguzo la tsh 50 bado nyokonyokonyoko. UDOM.