A
Wapo sahihi. Km unahitaji msaada, omba usaidiweWanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka.
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa
Wapo sahihi. Km unahitaji msaada, omba usaidiwe
Ndio wasomi wetu hawa kwani unadhani bylaw haijaleza haya mambo.Malipo ya hostel hufanyika kulingana na idadi ya siku za masomo hivyo hizi siku za likizo hazikulipiwa ni sahihi kabisa kulipia hiyo huduma
Chuo cha UDOM kimejengwa kwa pesa ya wastaafu na zinabidi zirudi. Ela unayolipa inapigiwa hesabu ya siku utakazotumia hicho chumba hivyo kama huendi likizo lazima wakuchaji.Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka.
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa
Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka
Wee Dogo kama ulikua hutaki kusoma CHUO CHA KATA usingejiunga😅😅Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka.
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa
Kwa hiyo UDOM chuo cha kata !?Wee Dogo kama ulikua hutaki kusoma CHUO CHA KATA usingejiunga😅😅
Kipindi chetu ilikua 500 kwa siku, sijui kama wamepandisha sasa hivi, hio hela mwanafunzi unachangia tu, ila value unayopata ni kubwa kushinda hio.Lakini naona ni sawa, gharama za kuendesha hizo hostel ni kubwa. Kama huna hiyo pesa nenda tu nyumbani
Sasa kam sio cha kata kwann analalama 5200tshKwa hiyo UDOM chuo cha kata !?
Umeme,ulinziKipindi chetu ilikua 500 kwa siku, sijui kama wamepandisha sasa hivi, hio hela mwanafunzi unachangia tu, ila value unayopata ni kubwa kushinda hio.
Imagine unapewa kitanda, Godoro, Kabati, Choo, Maji taka, Sehemu za kufulia etc kwa 500 tu kwa siku.
Acha kupotosha umma. Changu huwa haizidi dakika 5.5200 kwa wiki nzima unakuja kuiandikia siredi...
Halafu unahonga changu 5000 kimoja kwa dakika 10
Watu kama wewe hamkupaswa kufika chuo kikuu.Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka.
Swali la kujiuliza tutalipia mara ngapi kwa mwaka? Sisi hatuelewi kabisa