Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Kila siku ni migomo ya bumu tu...
Khaa!! Kwani UE imekaribia?? Maana wengine hushikwa na homa
cc cku baxi
We nae bogus.. mgomo wa mwisho udsm unajua ulitokea lini..? kila siku maana yake nini?
ningefurah wangekua wanajiorganize wadai ajira wamalizapo shule,,,,maana ndo wanakua na hali mbaua kuliko sasa,,,,
Hata walio wasomi wanashindwa kuelewa tatizo liko wap!..kuandamana kwa kukosa boom sio tiba ya tatizo,...leo wasomi wanashindwa kudai kupata katiba bora ambayo ingesaidia kuleta suluhisho kwa matatizo yote,..ukiandamana kwa ajili ya boom alafu husemi kitu kuhusu katiba yako bola usigraduate tu!
Khaa!! Kwani UE imekaribia?? Maana wengine hushikwa na homa
Kwi kwi njaa KaliYaan huku ndo tunakoma kabisa jmn....SUA, kwakwel tuko pa1 ktk hayo maandamano!!!!
Dr. Hujasema chochote ingawa umeongea. Sema usikike. Wenzio wa UDSM hawana mamlaka ya kugoma kwa kesho maana baada ya uchunguzi makini nemgundua kua wanapaswa kupewa chao Tarehe 8 May 2014. Nimeongea na Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Rwekaza Mukandala ananiambia uongozi wa chuo na uongozi wa DARUSO unafuatilia kwa makini swala hilo na kwamba naye ni mzazi hivyo hapendi wanafunzi wake wateseke. Amesema swala la cheki linashughulikiwa na afisa mikopo na watu wa bodi. Matumaini yake ni kuwa mpaka jumatano watu wataanza kupata stahili zao. Kuhusu mgomo amesema labda kuna jingine lakini boom si tatizo kubwa kihivyo.
My advise pesa zikiingia mtumie vyema si mitihani ikikaribia mnaanza njaaaaaa utaishia nyumbani bila boom wala degreee
Mtakufa vijanahata huku MUCE hali ni tete mlo mmoja per day
Teh tehhata huku MUCE hali ni tete mlo mmoja per day