Wanafunzi UDSM Kuanza Mgomo Na Maandamano Yasiyokoma - Jumatatu, Tarehe 5 May

Heheee.. Chezea kula mpakani mwa mchana na usiku?

kiukweli wenzangu wa mlimani campus mmewahi sana kuandaa kunji wakati tar 8 haijafika kwanini tusiwe na subira ili tujenge hoja ?tusubur kama itazidi tar 8 ndo tujue tutafanyaje.hata hapa MUCE hali ni mbaya lkn mda haujafika .tusikurupuke tutakosa ushahidi na kuishia kupigwa na ffu na kufukuzwa chuo.Ni USHAURI WANGU
 

Mkuu una busara kama Dr. Orestes Kapinga au kama Dr. S. Kitta.

Salama lakini pande za makanyagio? Au wewe upo blocks/halls?
 

Khaa!! Hii advise yako ilipaaswa kutolewa kwa mtoto wa darasa la 3 si kwa mwanachuo anayesomea shahada ya awali :baby:
 

mkuu tar 8 hela inabidi iwe imeingia kwenye account sio kusain. alaf unaongelea mlimani tu kumbuka vyuo kama SAUT (eg. moshi campus) walitakiwa kua wamepewa tangu tar 17/4 mkuu kuna sehem kuna tatizo sio bure
 
Haya mkagome ndio mlete uzi hapa msitupigie kelele.nakerwa xana na wanasiasa wasiofanya mambo kwa vitendo.kama mmeamua kufanya jambo jilipue kama M23
 
Njaa ikiwauma vizuri kabisa mtaingia road,chezea njaa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…