Watu wegi waliochangia hapa bado wametawaliwa na mawazo ya kikoloni. Wanadhani kusoma na kuelimika ni kujua kimombo. Loooooooooooh.
Hapana sababu nyingine ya maana ninayosoma hapa ikipinga kiswahili kutumika kama lugha mbadala hadi mtu kupata PHD.
Mambo ya kazi na nini sijui hayo ni jinsi gani policies zetu zinaelekeza sioni kama kuna shida.
Wakija wageni jambo la kwanza na wajifunze lugha yetu, then wafanye uwekezaji.
Mbona wanakwenda arabuni na sehemu nyingine na wanawekeza huku hao citizens hawajui kimombo?
Kupanga ni kuchagua.
I concur with you mkuu, lakini gharama halisi ya huu mpango lazima iangaliwe kabla ya kukurupuka. It will take not less than 30 yrs approx. kuanza kupata matunda halisi ya mpango huu. Mzee kumbuka yale maneno ya sayansi shule ya msingi yalivyokuwa magumu. Sasa imagine mtu anayesomea udaktari au uhandisi jinsi itakavyokuwa ishu, unless kama maneno ya kisayansi tutaamua kuyaacha kama yalivyo. Maana itakuwa bado ni kujifunza lugha nyingine.
All this means tunarudi kwenye fundamentals. Mwalimu alijaribu kwa kiasi kikubwa sana kuendesha nchi kuanzia kwenye fundamentals, kuwa na vision and focus. As of now kwa nchi iliyofisadiwa mpaka kifikra I doubt kama mpango huu unaweza kutekelezeka. We have to clean the house first kabla hatujaanza mipango ya namna hii. Tunahitaji kuacha kutegemea misaada kabla ya kuanza kutekeleza mipango hii.
Sipingi kutumia kiswahili lakini lazima tuface reality. Hata hao wachina huwezi kuamini wako bize mno kusoma kiingereza hivi sasa. Singapore, Malaysia lugha ya shule ni English. Tukumbuke pia kwamba Zimbabwe (pamoja na mapungufu yao) developed one of the finest education system in Africa lakini walitumia kiingereza, pamoja na kwamba wana lugha zao shona, ndebele, zezuru n.k.
Je matokeo ya mtihani wa somo la kiswahili kuanzia darasa la kwanza mpaka form four ni mazuri sana kwa sababu lugha hiyo inaeleweka na wengi? Nna uhakika majority of young men ukimuuliza maana ya kurunzi, kandili, kiona mbali hawawezi kukuelewa kabisa.
Na tukumbuke pia kwamba kiswahili kikiingizwa kwenye masomo itakuwa ni grammatical swahili ambayo ni ishu hata kwa waingereza wenyewe inapokuja suala la grammatical english.
MASWALI MUHIMU:
1. Je Tanzania haiendelei kwa sababu ya lugha ya mkoloni kufundishiwa mashuleni?
2. Na je ni nchi gani iliyokuwa na system ya lugha nyingine kwenye elimu (Say ya kikoloni) na baada ya miongo zaidi ya mitano ikabadili lugha na kufanya mendeleo makubwa.
3. Je kiswahili kinaeleweka vizuri na watanzania wote?
4. Gharama ipi ni kubwa kuinvest kwenye kiswahili na elimu kiujumla au kwenye kiswahili.
5. Je kiswahili si lugha ya kigeni? Maana watanzania wote wana makabila yao na kiswahili was imposed on them kama lugha yah taifa kutokea pwani.
Kwa mjadala zaidi tusome hapa chini:
source:
http://english.peopledaily.com.cn/200311/02/eng20031102_127409.shtml
It is reported that China will spend three years to set up an English grading system in middle schools. At present, new English textbooks and English grading standard are under deliberation. A training program aimed at teachers is underway since this year's summer vacation. A student of Grade 9 at the top of the new English grading standard is required to master 5,000 English vocabularies, which is more than two times of current vocabulary standard for high school graduates. High school students are required to have English of Grade 7 when they graduate. For taking part in college entrance examinations, their English must reach Grade 8.
Chinese children nowadays have started to learn English from the third grade in primary school, the time when they still know little about their mother language. And they'll keep learning English during the whole period of schooling and their English standard may even influence their jobs, promotion as well their lives in the future. From primary school to graduate school, English is always the must-be-tested subject.
After graduation, English will also be required for employment, promotion and professional evaluations.
Too much time spent on English
Learning English needs a language environment. Without it, people have to spend a lot more time on memorizing. For many of the learners, even they have tried hard, they still achieve very little.
"I read nothing but English during my free time," said Xiao Zhong, a postgraduate from the Economic Department of
[URL="http://english.peopledaily.com.cn/data/province/beijing.html"]Beijing Normal University[/URL], "but my listening comprehension and oral English remained far behind satisfaction."
A girl had to take the graduate school entrance examinations five times because of failure in English in the four previous yours, although she had excellent records for her major subjects. "During the past five years, I had spent 80 percent of my time on studying English until finally past the examination," she complained. She said that if she had spent the time on her major subjects, she might have great progress in her studies.
Professor Gu Haibing from the National Economic Management Department of Remin University of China said that for most people who had finished nine-year compulsory education, it is impossible or unnecessary to be excellent in all the subjects, given the current circumstances that professions are all meticulous divided. We suppose the study cost (time) on basic subjects are the same, if a person spends more time on English and his time on other subjects will be less. The result is that the person masters neither English nor other subjects. It will inevitably reduce the efficiency of learning.
Measurement of talent?
Currently, no matter at school or in companies, English seems to have become the top priority to judge one's talent.
According to Professor Gu, the measurement of a talent should not be based on any man-made standard. However, at present, people who cannot speak English are considered as second-class talents; people who cannot write in English are third-class talents; and those who know nothing about English are not talents at all.
People who know neither English nor computer are simply blockheads. A look at Chinese school education shows that English is the only compulsory curriculum during the 20-year-long schooling from primary school through to graduate school.
The English grading system has deviated from its original purpose that requires primary and middle school students "paying more attention to practical capability in English, so that they are not just learning the words but can listen to and speak English.
Some professionals believe that as long as one knows 1,000 to 2,000 vocabularies, basic grammars, simple dialogues and the way to check into a dictionary or relevant software,
he or she would be able to use English as an important tool in their future work and studies.
Proper status and correct study methods
According to Professor Gu Haibin, for English study, especially the study of spoken English, practice is very important. Without practice, the level of oral English of some people who have studied English for many years may not match those vendors at the foot of the Great Wall who often speak English with foreigners while hawking their commodities.
Here is the dilemma: on the one hand English is compulsory in school, on the other hand, there is no language environment in the society.
Research shows that in English learning,
the older the student, the higher the cost, or the lower the efficiency. The study of English, especially oral English, should be tackled during the period of middle school rather than that of graduate school or PH.D. programs.
Currently, the English teaching in colleges and universities is not at a higher level, but only a repetition of what the students leaned in high school. And again, the English class for postgraduates is a repetition of their college classes. The students take the course only for passing the examinations. The real meaning of English learning no longer exists.
An investigation shows
over 95 percent of Chinese college students will not use oral English in their whole lifetime nor will they read any English materials. Most people only need to check second-handed references in their work and the
number of English-Chinese experts required nationwide is after all limited. (China.org.cn)