Wanafunzi vyuoni: Msikae kusuburi boom/pocket money, fanya hizi biashara

Wanafunzi vyuoni: Msikae kusuburi boom/pocket money, fanya hizi biashara

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL

Nguvu ya hii biashara


1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani kuna huduma. hata usiku.

2. Stationery zinaweza kuwa mbali na sehemu ambayo unaishi na wanafunzi wenzako, nguvu yako hapa ni ukaribu wa huduma

3. Maeneo mengine yana migao ya umeme, umeme ni wa kurudi usiku, hapa tayari una wateja

Vifaa
1597608147500.png


-Printer ya bei poa ni "hp 315 inktank", inaaprint kawaida, rangi, ku scan, kusafisha picha za kawaida na passport size
-hii printa niliona inauzwa kaeiakoo pale discount kubwa kwa 290,000, duka lengine pia niliona ni 295,000
-utaweza kuprint hadi karatasi elf 8
-wino ukiisha utanunua vichupa vya kujaza, wanauza elf 4

faida

-Rim yenye karatasi 500 huuzwa shilingi elfu 10 ,
-ukiprint hio kwa bei ya shilingi 100 (ndio bei iliyozoeleka vyuo vya eneo nilipo). mapato ni elf 50, faida itakuwa elf 40
-kuscan nyaraka faida ni kama yote tu

ukimaliza chuo pia inaweza kuiuza hata kwa laki hio printer/

Hii uzuri wake ni kwamba hata mwanafunzi mwenye hii printer ananufaika kujiprintia kazi lakini pia inakuwa kitega uchumi.


KUCHEZESHA GAME.

1597609012327.png


Nakumbuka nikiwa chuoni mwaka nlikuwa na laptop nikaingiza game ya mpira, yani pale hostel chumba changu kilikuwa kinajaa watu wanacheza game, najuta sikupata wazo la kutoza mtonyo

majuzi nimecheki channel flan huko kenya naona hii imekuwa biashara kabisa na vijana wamejipinda wamenunua kabisa Play station.

Nunua hata ps3 ya mtumba 250,000/= uende kariakoo watakuwekea games humo humo kwa elf 30, una tafuta hata ka tv rapa ka mtumba ka flat kwa laki moja unarudi zako hostel / gheto

hapo sasa kila mechi we seti iwe dakika 10 na iwe 500, kwa saa mtu alipe hata elf 2.



faida utapata tu, maana hata ukimaliza chuo utauza vifaa

1597608933888.png
 
STATIONERY YA NDANI YA GHETO/HOSTEL

Nguvu ya hii biashara


1.tationery nyingi hufugwa mida ya saa moja jioni hivyo hakunaga mbadala, nguvu yako hapa ni kwamba wewe muda wowote ambao upo chumbani kuna huduma. hata usiku.

2. Stationery zinaweza kuwa mbali na sehemu ambayo unaishi na wanafunzi wenzako, nguvu yako hapa ni ukaribu wa huduma

3. Maeneo mengine yana migao ya umeme, umeme ni wa kurudi usiku, hapa tayari una wateja

Vifaa
View attachment 1539603

-Printer ya bei poa ni "hp 315 inktank", inaaprint kawaida, rangi, ku scan, kusafisha picha za kawaida na passport size
-hii printa niliona inauzwa kaeiakoo pale discount kubwa kwa 290,000, duka lengine pia niliona ni 295,000
-utaweza kuprint hadi karatasi elf 8
-wino ukiisha utanunua vichupa vya kujaza, wanauza elf 4

faida

-Rim yenye karatasi 500 huuzwa shilingi elfu 10 ,
-ukiprint hio kwa bei ya shilingi 100 (ndio bei iliyozoeleka vyuo vya eneo nilipo). mapato ni elf 50, faida itakuwa elf 40
-kuscan nyaraka faida ni kama yote tu

ukimaliza chuo pia inaweza kuiuza hata kwa laki hio printer/

Hii uzuri wake ni kwamba hata mwanafunzi mwenye hii printer ananufaika kujiprintia kazi lakini pia inakuwa kitega uchumi.


KUCHEZESHA GAME.

View attachment 1539621

Nakumbuka nikiwa chuoni mwaka nlikuwa na laptop nikaingiza game ya mpira, yani pale hostel chumba changu kilikuwa kinajaa watu wanacheza game, najuta sikupata wazo la kutoza mtonyo

majuzi nimecheki channel flan huko kenya naona hii imekuwa biashara kabisa na vijana wamejipinda wamenunua kabisa Play station.

Nunua hata ps3 ya mtumba 250,000/= uende kariakoo watakuwekea games humo humo kwa elf 30, una tafuta hata ka tv rapa ka mtumba ka flat kwa laki moja unarudi zako hostel / gheto

hapo sasa kila mechi we seti iwe dakika 10 na iwe 500, kwa saa mtu alipe hata elf 2.



faida utapata tu, maana hata ukimaliza chuo utauza vifaa

View attachment 1539620

Kiongozi umesema rimu inakaratasi 500 inauzwa 10k ukiprint kwa 100 unapata faida 40k. Vp wino wenyewe unatolewa bure?
 
Kiongozi umesema rimu inakaratasi 500 inauzwa 10k ukiprint kwa 100 unapata faida 40k. Vp wino wenyewe unatolewa bure?
kwenye website ya hii printer wameandika

Print up to 8,000 pages with a set of
HP colour bottles or up to 6,000 pages
with an HP black ink bottle.

Karatasi elf 6 hizo za black and white ni kama rim 12, na unaponunua hio printer unapewa vichupa vya wino mweusi na rangi

kama mtu yuko poa anaweza kujichanga amalize mchezo kabisa, kwa laki 4 avute printer ya "epson l382" hii mashine ukijaza wino unaponunua printer utaprint copy elf 12, na uzuri ni kwamba hii mashine inaprint kwa spidi kali sana yani fasta mno, kwa dakika unaprint page za kutosha.

pia ni muhimu kujua pia kuna printer hata za elf 90 unapata mpya kabisa na wino unapewa, utachekelea wiki ya kwanza tu, ukishaprint kopi zako 100 tu inabidi uandae elf 40 ya wino, catride ya wino, hapa hadi umalize karatasi 500 za kwenye rim ushatumia takribani laki 2, huku wenzako wenye mashine kama hp inktank 315 au epson L382 hata hawajatumia robo ya wino.

Sasa mfano ukifanikiwa kuprint hizo kopi elf 6 kwa shilingi 100 tu, hio ni Laki 6, ukitoa gharama za rim 12 ni 120,000...….Faida inayobaki ni 480,000, hapo ndo mfano mtu ndo yupo mwaka wa mwisho hapo anaamua kuuza na hio printer hata kwa laki na nusu, Pesa katengeneza au hajatengeneza???
 
kwenye website ya hii printer wameandika

Print up to 8,000 pages with a set of
HP colour bottles or up to 6,000 pages
with an HP black ink bottle.

Karatasi elf 6 hizo za black and white ni kama rim 12, na unaponunua hio printer unapewa vichupa vya wino mweusi na rangi

kama mtu yuko poa anaweza kujichanga amalize mchezo kabisa, kwa laki 4 avute printer ya "epson l382" hii mashine ukijaza wino unaponunua printer utaprint copy elf 12, na uzuri ni kwamba hii mashine inaprint kwa spidi kali sana yani fasta mno, kwa dakika unaprint page za kutosha.

pia ni muhimu kujua pia kuna printer hata za elf 90 unapata mpya kabisa na wino unapewa, utachekelea wiki ya kwanza tu, ukishaprint kopi zako 100 tu inabidi uandae elf 40 ya wino, catride ya wino, hapa hadi umalize karatasi 500 za kwenye rim ushatumia takribani laki 2, huku wenzako wenye mashine kama hp inktank 315 au epson L382 hata hawajatumia robo ya wino.

Sasa mfano ukifanikiwa kuprint hizo kopi elf 6 kwa shilingi 100 tu, hio ni Laki 6, ukitoa gharama za rim 12 ni 120,000...….Faida inayobaki ni 480,000, hapo ndo mfano mtu ndo yupo mwaka wa mwisho hapo anaamua kuuza na hio printer hata kwa laki na nusu, Pesa katengeneza au hajatengeneza???
Vp hiyo Epson inatoa na cop
 
Back
Top Bottom