Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji, wametengeneza gari linalotumia umeme

Mediocrity
 
Hatukatishi tamaa ila kinacho weza kusemwa tuseme

Je unakumbuka wale walio tengeneza ndege serikali
Iliwasaidia nini

Je unaona hawa na wale wa ndege nani alikuwa mbunifu zaidi
kwanza hii imekuwa designed under government institution....

pili nadhani linapokuja swala la designing watu wengi huwa mnachukulia poa sana.... lakini design ni kitu kimoja very complex... a lot of calculations huwa zinainvolve katika designing... msione tu vitu vinatembea, kuna watu walijitoa sadaka...

Hebu niambie leo hii mtu mzima aliyeishia darasa la saba amedevelop ndege.... unamuendeleza kwa kipi??? atakuwa na uwezo wa kumaster calculations za aerodynamics ambazo sometimes hata mtu wa bachelor degree zinamtoa nduki???

At least mtu akiwa katika system ya elimu inaweza ikawa rahisi kumuendeleza....
 
Hayo Magari yanayotumia Battery... miaka mingi sana Wakorea wanatumia.... kuna jamaa anafanyakazi "nyumba namba 1" analo hilo, jamaaa alisoma Korea, akarudi nalo! Hongera zao japokuwa hayo mapito, NYUMBU Kibaha, waliyapita zamani sana! Technically, tunarudi nyuma!
 
Hivi hata hawa waliotengeneza magari tunayotumia walianzia huku??? hatukatishani tamaa lakini tutumie comon sense kidogo, hata bati la nje tumeshindwa kulinyoosha na kupiga rangi?? Matumizi ya lugha nayo ni mabaya unasema amegundua gari ya kutumia umeme wakati dukani yapo magari mengi ya watoto unacharge kwa umeme na yanatembea bika shida, pia ukiangalia hicho kituko cha gari utaona ni ka ame assemble tu, vifaa vyote vinatoka japan na china kasoro hizo square pipe labda.
 
Ni mwanzo mzuri issue ni investment na continuity.
 
hata hapa tu wakatisha tamaa washaonekana
Idea yenu ilikuwa nzuri ila hamuwezi kufikia malengo pasipo kuwezeshwa economically lazima pawepo na watu wa kuweka mkono ila wasiwe wanasiasa.
NOTE: MKIHOJIWA MSISEME MMEUNDA GARI ILI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI YA VIWANDA.
 
Ko hiyo gar gani au mkoko ten kichwa cha mwenda wazm hakiwez ktuacha kabisa
 
SASA GARI GANI ILO LIMEKAA TENA KAMA TOROLI ALAFU UNAKUJA SEMA KUWA WAMEVUMBUA GARI. BE OBJECTIVE, HATA QUALITY YA GARI HAIFIKA 1%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…