Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji, wametengeneza gari linalotumia umeme

Hakuna kitu hapo bure kabisa sayansi na tekinolojia aifanyiki hivyo!! Kitu ni mathematic simulation in software hiyo ndiyo sayansi siku ukisikia wataalamu wameanzia hapo ndiyo ujue tutakuwa tumepata muelekeo wa kweli
 
Daah! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Comments za wadau umu zinafurahisha sana ani! Me msomaji tu kwakweli...
 

1769 model



The second Marcus car of 1888 at the Technical Museum in Vienna

1906

1926

RollsRoycePhantomCirca1936


Huku watu walitoka na ujinga wao na dhihaka...mpaka sasa wapo kama walivyo.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya gari na mkokoteni. Hilo ni kokoteni.
 
Hahahhaa,yaaan kama 1982 ugunduz wa magari[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1]
 
hapo ni wamefanyaje kwan au unaongelea kwmba haliko fresh?? sema wabongo sisi tunashida sana hata wakiunda likawa zuri vipi bado hatukosi maneno any way ujio wa boeng sijaufurahia kabisa
 
Bado saaana!Unasemaje umetengeza Gari ambalo hata designing ya Body haieleweki kama ni Tera,Toroli!!!
Tuwe serious
 
Rwanda wanazindua kiwada cha kua Assamble magari sisi ndo tunaunganisha vyuma chakavu mfano wa gari afu tunasema ugunduzi,
Tuache utani jamani afu eti hadi uichomeke kwenye umeme ahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…