15km/hrLina speed gani?
Hahaha daahTwaweza wakitumia hii michango humu kama sample yao ya utafiti hiki chuo kitafungwa.
unaelimishwa unaleta HASIRA kwanza badili heading KUTENGENEZA maana hata ku assembling hamjafikia, kwani Vehcle hicho kitu cha tyre ya mbele na nyuma wheelbalancing yake haipo ni AJALI tuhukujui unachoongea....
unaelimishwa unaleta HASIRA kwanza badili heading KUTENGENEZA maana hata ku assembling hamjafikia, kwani Vehcle hicho kitu cha tyre ya mbele na nyuma wheelbalancing yake haipo ni AJALI tu
kuna jamaa wameshaunganisha mfano wa ( copy) Helikopta, ndege lakini tulikataa sio kutengeneza
Labda Mzee wa watu aliyefua Umeme huyo tutazema katengeneza genereta za kufua umeme
haya nipo ITV mubashara nawasubiri
View attachment 1265364
tairi ya mbele na ya nyuma hazioani, labda kwa mkokoteni ruksa Mkuu