Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Haahahaa.Aaah alishawabip watu fulan mwenye inchi akasema alikuwa anawasubiri walipuke tu wangewaka chuo kizima!!
Handle it with care & shake well before use since it is unfit for human consuption however kipendacho roho hula nyama mbichi.
Harahara kidole na jicho guys!!!
Mkuu wewe ndiye mwongo, taarifa hizi zina ukweli.watu acheni uongo, uliyepost ni muongo acha kudanganya watu
Nipo hapa.Wanasema tu,hakuna mwenye ubavu huo.Tawala zimzbadilika.Unaweza kugoma kwasababu ya BOOM,then ukapoteza both BOOM na CHUO.Ni taarifa kutoka chuo cha afya muhimbili, MUHAS,
Muda wowote wataandamana kwenda bodi ya mikopo kutokana na chuleleweshewa hela za kujikimu, maarufu kama boom.
Inasemekana kuwa pesa hizo walitakiwa wapewe katikati ya mwezi huu wa sita lakini hadi sasa hakuna kilicho fanyika, na hawajuwi ni lini watapewa hela hizo.
Wameendelea kuambiwa kuwa wavumilivu hadi serikali itakapotoa pesa siku ambayo haijulikani.
Nafuata maadili ya kazi yangu nafikiri ID yangu inajielezaSpinning doctor wa CHADEMA ndiyo amekuwa wa kwanza kujua kuhusu mgomo!... sawa bwana, ni taasis gani mnaishawishi wagome baada ya MUHAS?
Ni nani kakuambia BOOM ni HAKI yako?Toka lini ukalazimisha kukopeshwa?Awamu hii ni marufuku watu kudai haki zao?