Tetesi: Wanafunzi wa Chuo Kikuu Muhimbili (MUHAS) kugoma

Tetesi: Wanafunzi wa Chuo Kikuu Muhimbili (MUHAS) kugoma

Tangu kiongozi wa mgomo wa madaktari ateuliwe kuwa katibu wa CHADEMA nimekuwa muangalifu sana kushangilia hii migomo maana sio yote ni kutetea maslahi ya wagomaji mingine ni kutumiwa tu!
Mkuu wanafunzi wanadai hela ya kujikimu iliyo chelewa, wakulaumiwa ni aliye wachelrwesha. Hata mgomo wa ulimboka Madai yao bado yana ishi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
JPM bado anasubiri atumbue vilaza humo c mlimani pekee palionyesha vilaza hamna! tu! u Dr! sasa hivi Dili Kwan mnakumbuka fake wameonekana Wangapi! na kesi Zao hatuzioni mahakamani!!! mkopo mpatapa uchunguzi uliye kwanza!!!!!!!
 
Huwezi kusoma ukiwa na njaa,haiwezekani
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1467041036555.jpg
    uploadfromtaptalk1467041036555.jpg
    90.9 KB · Views: 40
Ni taarifa kutoka chuo cha afya muhimbili, MUHAS,

Muda wowote wataandamana kwenda bodi ya mikopo kutokana na kucheleweshewa hela za kujikimu, maarufu kama boom.

Inasemekana kuwa pesa hizo walitakiwa wapewe katikati ya mwezi huu wa sita lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika, na hawajuwi ni lini watapewa hela hizo.

Wameendelea kuambiwa kuwa wavumilivu hadi serikali itakapotoa pesa siku ambayo haijulikani.

mwimnili kugoma hiyo sahau , kipindi cha dhaifu tu mlishindwa kugoma na kumbuka hela ilikuwa inapitilizs hadi miezi miewili DR. mtinange akitangaza tu CA mnasahau kama kuna kitu kinachoitwa boom
 
Huwezi kusoma ukiwa na njaa,haiwezekani
Hivi selekali inayo kusanya kodi hadi kuvuka malengo mbona inaiwia vigumu kulipa?, hizi ni dalili za udhulumaji. Hivi wale wa NIDA walio simamishwa kazi walisha lipwa??
 
Hapa w
mwimnili kugoma hiyo sahau , kipindi cha dhaifu tu mlishindwa kugoma na kumbuka hela ilikuwa inapitilizs hadi miezi miewili DR. mtinange akitangaza tu CA mnasahau kama kuna kitu kinachoitwa boom
Hapo kwa tabia hiyo waendelee tu kuumia, selekali hii inaonekana kutopenda kulipa inapo daiwa, watairahisishia kazi
 
Ni nani kakuambia BOOM ni HAKI yako?Toka lini ukalazimisha kukopeshwa?
Kwa kuwa kuna makubaliano yaliingiwa imeishakuwa haki mpaka pale makubaliano hayo yatakapovunjika, je yamevunjika?
 
Awamu hii hata ukiwa kwenye mwendokas ukikanywagwa, huruhusiwi kulalamika unakausha tu!!
 
Huwezi kusoma ukiwa na njaa,haiwezekani
hahahahaha hivi ukiwa mkurugenzi wa HESLB afu unaona watu wanagoma kisa taasisi yako imeshindwa kutimiza majukumu roho haikusuti hata kidogo....kazi nyingine lazima uwe na moyo wa chuma aisee....!!!!
 
Ni nani kakuambia BOOM ni HAKI yako?Toka lini ukalazimisha kukopeshwa?
Si sahihi sana kuamini kwamba boom si haki yako. Serikali yoyote huwekwa madarakani kwa lengo la kuhakikisha watu wake wanapata huduma muhimu mojawapo ikiwa elimu. Serikali ina mamlaka ya kukusanya kodi kutoka kwa mwananchi, kodi kutoka rasilimali ardhi, maji, anga, wanyama nk ikiwa na lengo kuu la kuhakikisha huduma muhimu zinapatikana. Fedha inayotokana na uvuvi ziwa Victoria ikinunua chaki za kufundishia Mtwara ni jambo la kawaida na pia ni muhimu. Mgawanyo wa rasilimali za nchi ili kuwafikia wananchi kwa kiwango kikubwa ndilo jukumu kuu la serikali. Serikali nyingine hutegemea mafuta tu kama chanzo kikubwa cha kukamilisha mahitaji hayo.

Endapo serikali itashindwa kutoa elimu kama ilivyotarajiwa, basi lazima itoe maelezo yanayojitosheleza. Boom ni mkopo ambao ni wa lazima ili watu wapate elimu. Imewekwa kama mkopo ili fedha zinaporudishwa zisaidie kuendeleza au kusomesha wengine. Hivyo Boom ni mkopo wa LAZIMA si wa ombi. Mkopo wa ombi utaukuta benki.
 
Wawe wavumilivu, mbona sisi tunavumilia. Istoshe wao wanalipiwa ada yote. Sisi huku ada tunaongezea lakini wao ndo wakulialia
 
Back
Top Bottom