Tetesi: Wanafunzi wa Chuo Kikuu Muhimbili (MUHAS) kugoma

Tetesi: Wanafunzi wa Chuo Kikuu Muhimbili (MUHAS) kugoma

Zoezi la uhakiki wa vyeti vyao lianze haraka sana,kuna watu wanatoka apo kuja mahospitalini kuajiriwa hawana weledi kabisa
 
Spinning doctor wa CHADEMA ndiyo amekuwa wa kwanza kujua kuhusu mgomo!... sawa bwana, ni taasis gani mnaishawishi wagome baada ya MUHAS?
hivi ktk hali ya kawaida mtu unaweza ukapigwa usijue kuwa umepigwa mpaka aje mtu mwengine akwambie kuwa umepigwa???
 
Back
Top Bottom