Atacms JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 4,884 Reaction score 8,924 Jun 29, 2016 #42 masalu gusessa said: watu acheni uongo, uliyepost ni muongo acha kudanganya watu Click to expand... Unaongea nini wewe vyuo kadhaa bado havijapokea izo pesa mwenyewe nipo chuo cha uhasibu lakin mpaka leo hakuna kinacho eleweka..
masalu gusessa said: watu acheni uongo, uliyepost ni muongo acha kudanganya watu Click to expand... Unaongea nini wewe vyuo kadhaa bado havijapokea izo pesa mwenyewe nipo chuo cha uhasibu lakin mpaka leo hakuna kinacho eleweka..
GOLDGREEN9 JF-Expert Member Joined Jun 14, 2016 Posts 351 Reaction score 221 Jun 29, 2016 #43 Namba inasomwa!
nra2303 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 2,975 Reaction score 2,547 Jun 29, 2016 #44 Zoezi la uhakiki wa vyeti vyao lianze haraka sana,kuna watu wanatoka apo kuja mahospitalini kuajiriwa hawana weledi kabisa
Zoezi la uhakiki wa vyeti vyao lianze haraka sana,kuna watu wanatoka apo kuja mahospitalini kuajiriwa hawana weledi kabisa
N Ninaweza JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 13,095 Reaction score 8,284 Jun 29, 2016 #45 HEKIMA KWANZA said: Spinning doctor wa CHADEMA ndiyo amekuwa wa kwanza kujua kuhusu mgomo!... sawa bwana, ni taasis gani mnaishawishi wagome baada ya MUHAS? Click to expand... hivi ktk hali ya kawaida mtu unaweza ukapigwa usijue kuwa umepigwa mpaka aje mtu mwengine akwambie kuwa umepigwa???
HEKIMA KWANZA said: Spinning doctor wa CHADEMA ndiyo amekuwa wa kwanza kujua kuhusu mgomo!... sawa bwana, ni taasis gani mnaishawishi wagome baada ya MUHAS? Click to expand... hivi ktk hali ya kawaida mtu unaweza ukapigwa usijue kuwa umepigwa mpaka aje mtu mwengine akwambie kuwa umepigwa???