Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Naibu waziri wa Elimu bwana Mulugo amesema kuwa serikali ya Tanzania Bara ina mpango wa kuanzisha utaratibu wa kuwa na Mtihani wa Taifa kwa wanafunz wa darasa la 2,
Amesema lengo la kuja na mpango huu ni kupunguza tatizo la wanafunzi wasiokua na maarifa ya kujua KUSOMA,KUANDIKA na KUHESABU(KKK) ambapo inaonesha kwa sasa wanafunzi(baadhi yao) wanaingia sekondari bila kuwa na maarifa ya KKK.
Sosi:Habari Leo 10/09/2013
Amesema lengo la kuja na mpango huu ni kupunguza tatizo la wanafunzi wasiokua na maarifa ya kujua KUSOMA,KUANDIKA na KUHESABU(KKK) ambapo inaonesha kwa sasa wanafunzi(baadhi yao) wanaingia sekondari bila kuwa na maarifa ya KKK.
Sosi:Habari Leo 10/09/2013