toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Wanafunzi wa Diploma, chuo cha Muhimbili-COHAS kilichopo Dar es Salaam kuzuiwa kufanya mitihani yao kisa bima za afya.
Kumekuwepo na malalamiko ya wanafunzi kulalamika kwa kile kinachoendelea katika chuo hicho ambacho kinatoa Elimu kwa ngazi ya diploma (MUCOHAS) huku walimu wakisema maelekezo wamepewa na mkuu wa chuo kama taarifa kutoka NACTE-VET
Maagizo hayo ni pamoja na kuwazuia wanafunzi kutofanya mitihani yao yoyote ile ya ndani na nje.
Naomba kuuliza kwa wadau wa Elimu tamko hili la kuzuia wanafunzi kutokufanya mitihani kisa Bima ya Afya limeanza tangu lini? Ni sheria? Je bunge limepitisha ?
Je, barua ipo wapi yenye maelezo hayo au ni chuo cha mucohas peke yake? Wanafunzi walikuwa wanalalamika walilipia tangu wakiwa mwaka wa kwanza bima zao hawakuwahi kuzipata mpaka wamemaliza wakifatilia wanapewa kalenda.
Changamoto ni nyingi sana kama wazazi tunashangazwa na swala la kuongezwa ADA ghafla katikati ya semista na ilihali ni chuo cha Serikali pia kuna wanafunzi waliopo under TCU wanalazimishwa kuja na rim papers kila semista wakati vitu hivyo havikuapo hata wanafunzi waliopo under TCU upande wa degree hawaleti rim papers.
Serikali tunaomba ufafanuzi wa suala hilo. Bima ya afya ni muhimu lakini si kwa mambo kama ya kuzuia watoto wasifanye mitihani licha ya viongozi wa Serikali kukipa uangalizi maalumu lakini bado mambo ya ajabu yanaendelea.
Watendaji Chuo Cha Muhimbili watakiwa kujitathimini wapewa miezi mitatu ya uangalizi
Kumekuwepo na malalamiko ya wanafunzi kulalamika kwa kile kinachoendelea katika chuo hicho ambacho kinatoa Elimu kwa ngazi ya diploma (MUCOHAS) huku walimu wakisema maelekezo wamepewa na mkuu wa chuo kama taarifa kutoka NACTE-VET
Maagizo hayo ni pamoja na kuwazuia wanafunzi kutofanya mitihani yao yoyote ile ya ndani na nje.
Naomba kuuliza kwa wadau wa Elimu tamko hili la kuzuia wanafunzi kutokufanya mitihani kisa Bima ya Afya limeanza tangu lini? Ni sheria? Je bunge limepitisha ?
Je, barua ipo wapi yenye maelezo hayo au ni chuo cha mucohas peke yake? Wanafunzi walikuwa wanalalamika walilipia tangu wakiwa mwaka wa kwanza bima zao hawakuwahi kuzipata mpaka wamemaliza wakifatilia wanapewa kalenda.
Changamoto ni nyingi sana kama wazazi tunashangazwa na swala la kuongezwa ADA ghafla katikati ya semista na ilihali ni chuo cha Serikali pia kuna wanafunzi waliopo under TCU wanalazimishwa kuja na rim papers kila semista wakati vitu hivyo havikuapo hata wanafunzi waliopo under TCU upande wa degree hawaleti rim papers.
Serikali tunaomba ufafanuzi wa suala hilo. Bima ya afya ni muhimu lakini si kwa mambo kama ya kuzuia watoto wasifanye mitihani licha ya viongozi wa Serikali kukipa uangalizi maalumu lakini bado mambo ya ajabu yanaendelea.
Watendaji Chuo Cha Muhimbili watakiwa kujitathimini wapewa miezi mitatu ya uangalizi