Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Wanafunzi wakike shule ya Sekondari Thaqaafa iliyoko mkoa wa Mwanza , wilaya ya Nyamagana wamenusurika kubakwa baada ya vibaka watatu kuingia ndani ya bweni saa nane usiku.
Wakiwa katika harakati za kumziba mdomo mmoja wa wanafunzi ili asipige kelele waanze kumbaka, ghafla mwanafunzi mwenzake alishtuka na kupiga mayowe yaliyofanya vibaka hao kutoka mbio na kutokomea kusikojulikana.
Baadhi ya wanafunzi waliohojiwa kisiri siri wanadai matron wa shule aliwambia hatoshughulika na kitu chochote kwa sababu hajalipwa mshahara wake kwa miezi takriban 3 na kitu.Hivyo hakujali kuhakikisha anafunga milango ya bweni.
Pia wanafunzi wameonywa kutotoa taarifa zozote, inaonekana uongozi unataka jambo hili liishie chini ya kapeti.
Update: Taarifa za uhakika zinasema sio vibaka kutoka nje shule bali ni wanafunzi wa kiume wa hapo hapo Thaqaafa ndio walifanya kitendo hicho.
Nimeshtushwa sana kwa sababu shule hii nilishamuonya sana jamaa yangu mmoja asipeleke mtot tangu ilipofungiwa kituo kwa kuibia mitihani lakini hakuniskia,
Soma Pia: Mwanza: Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Thaqaafa waandamana kudai matokeo ya watoto wao
Hii shule wanaoifahamu wanadai ina changamoto lukuki kila sector na uongozi wake ni wa kiswahili swahilina hivi.Pia naskia ina mgogoro mkubwa wa umiliki.
My take: SERIKALI ITAZAME SHULE KAMA HIZI NA HATUA ZICHUKULIWE DHIDI YA WAHUSIKA.INASEMEKANA MPKA SASA VIONGOZI WA SHULE HII HAWAJACHUKUA HATUA YOYOTE DHIDI YA MATRON KWA KILE KINACHODAIWA KUWA NI KUOGOPA KUDAIWA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA .
Wakiwa katika harakati za kumziba mdomo mmoja wa wanafunzi ili asipige kelele waanze kumbaka, ghafla mwanafunzi mwenzake alishtuka na kupiga mayowe yaliyofanya vibaka hao kutoka mbio na kutokomea kusikojulikana.
Baadhi ya wanafunzi waliohojiwa kisiri siri wanadai matron wa shule aliwambia hatoshughulika na kitu chochote kwa sababu hajalipwa mshahara wake kwa miezi takriban 3 na kitu.Hivyo hakujali kuhakikisha anafunga milango ya bweni.
Pia wanafunzi wameonywa kutotoa taarifa zozote, inaonekana uongozi unataka jambo hili liishie chini ya kapeti.
Update: Taarifa za uhakika zinasema sio vibaka kutoka nje shule bali ni wanafunzi wa kiume wa hapo hapo Thaqaafa ndio walifanya kitendo hicho.
Nimeshtushwa sana kwa sababu shule hii nilishamuonya sana jamaa yangu mmoja asipeleke mtot tangu ilipofungiwa kituo kwa kuibia mitihani lakini hakuniskia,
Soma Pia: Mwanza: Wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Thaqaafa waandamana kudai matokeo ya watoto wao
Hii shule wanaoifahamu wanadai ina changamoto lukuki kila sector na uongozi wake ni wa kiswahili swahilina hivi.Pia naskia ina mgogoro mkubwa wa umiliki.
My take: SERIKALI ITAZAME SHULE KAMA HIZI NA HATUA ZICHUKULIWE DHIDI YA WAHUSIKA.INASEMEKANA MPKA SASA VIONGOZI WA SHULE HII HAWAJACHUKUA HATUA YOYOTE DHIDI YA MATRON KWA KILE KINACHODAIWA KUWA NI KUOGOPA KUDAIWA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA .