kwanza nawapa pole wapendwa kwa kusimishwa chuo! ila wasikate tamaa,maisha yanaendelea, kama wamesimama imara naamini haya ni mapito tu! mimi nilipitia sana sekondari kwenye somo la civics mwalimu alikuwa anafundisha jumamosi tu but nilikuwa best performer wa hilo somo!
vilevile wakati nasoma chuo cha usimamizi wa fedha nilikutana na hiyo changamoto lakini MUNGU alizidi kuwa mwema kwangu,naingia first year mitihani siku ya sabato ilifutwa na management ya wakati huo.kitu cha ajabu nilipomaliza mitihani ilirudishwa tena!then ata kazini nipo kitengo ambacho sifanyi kazi siku ya sabato ata ikitokea dharura management wanajua kuwa mimi ni muadventista msabato!
ushauri wangu kwa hao vijana wamkabidhi MUNGU jambo hili afanye sehemu yake!saa nyingine tukitumia ubinadamu hatutaweza.Mimi nitawasaidia kuombea jambo hili
kwanza nawapa pole wapendwa kwa kusimishwa chuo! ila wasikate tamaa,maisha yanaendelea, kama wamesimama imara naamini haya ni mapito tu! mimi nilipitia sana sekondari kwenye somo la civics mwalimu alikuwa anafundisha jumamosi tu but nilikuwa best performer wa hilo somo!
vilevile wakati nasoma chuo cha usimamizi wa fedha nilikutana na hiyo changamoto lakini MUNGU alizidi kuwa mwema kwangu,naingia first year mitihani siku ya sabato ilifutwa na management ya wakati huo.kitu cha ajabu nilipomaliza mitihani ilirudishwa tena!then ata kazini nipo kitengo ambacho sifanyi kazi siku ya sabato ata ikitokea dharura management wanajua kuwa mimi ni muadventista msabato!
ushauri wangu kwa hao vijana wamkabidhi MUNGU jambo hili afanye sehemu yake!saa nyingine tukitumia ubinadamu hatutaweza.Mimi nitawasaidia kuombea jambo hili
Nakumbuka joining instruction ya SAUT ilikua imeandikwa masomo yatakua 1:45 Asubuhi mpaka saa 1:45 usiku, Jumatatu mpaka Ijumaa.
Ukishasaini pale hawa shida uwe msabato au la utaingia clas coz Jumamosi ni siku ya masomo kama kawaida.
Kwakuwa ni laana nyingine ya dunia inayotukabiliKwa nini?
Unajua wasabato wanaonekana kama freeky creature hapa duniani.....Na hii yote imesababishwa na muanzilishi wao Nabii Mke Ellen G Whitekwa sababu unashambulia wasabato as if wamekuulia mwanao kila siku na kila mada ya wasabato inapoanzishwa
Hapana....Wasabato wasipobadilisha fikra na mitazamo ya yule Mama White wataendelea kuwa viumbe wa ajabu sana hapa dunianiKaka kuwa na akiba na maneno,kuabudu sio dhambi na kuheshimu imani ya watu wengine ni jambo jema
Tutajie hiyo siku ili tujiandaeCatholic Church imejifanya mungu mtu duniani kujiona bora kuliko wengine, kama ilivyo Ijumaa kuifanya siku ya kazi ipo siku haki itatendeka
Usabato siyo imani...ni genge la wanaharakati lilionzia huko Marekani..Mweleze jamaa yangu unajua Otorong'ong'o anaona kama imani za watu wengine ni upuuzi, asicheze na imani za watu
Acha ubashite wewe, hapo RC inahusika nini sasa katika hili?Catholic Church imejifanya mungu mtu duniani kujiona bora kuliko wengine, kama ilivyo Ijumaa kuifanya siku ya kazi ipo siku haki itatendeka
Kuna Wasabato kibao Jeshini...Ila wanakwambia ni bahati mbaya sana dini yao ilianzishwa na mwanamke..wanajuta....Hivi wakienda jeshini kwa mujibu wanafanyaje
Mungu akusamehe bure maana hujui usemaloHapana....Wasabato wasipobadilisha fikra na mitazamo ya yule Mama White wataendelea kuwa viumbe wa ajabu sana hapa duniani
We umeona wapi kanisa linaanzishwa na mwanamke tena anajipachika unabii na vidume vipo vinashangilia..
Matokeo yake ndio haya wanagomea mitihani