ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Haki yako kwa Mungu inatambulika na atawalipia...
Tatizo ni kwa wale wanadai kuitunza sabato huku wamekumbatia dhambi nyingine, mtu kama huyo hatabaki salama wala Mungu hashughuliki naye.
Kufukuzwa chuo si mwisho wa maisha, wapo waliouawa kabisa kwa sababu za kiimani sembuse kufukuzwa chuo?!!!
Wapambane na hali zao katika kuomba, Mungu atafungua njia nyingine kwa ajili yao
Tatizo ni kwa wale wanadai kuitunza sabato huku wamekumbatia dhambi nyingine, mtu kama huyo hatabaki salama wala Mungu hashughuliki naye.
Kufukuzwa chuo si mwisho wa maisha, wapo waliouawa kabisa kwa sababu za kiimani sembuse kufukuzwa chuo?!!!
Wapambane na hali zao katika kuomba, Mungu atafungua njia nyingine kwa ajili yao