Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria


Ndo maana huwa ninasema wasabato wana matatizo ya akili. How comes ugome kufanya UE kwa sababu eti unatunza sabato. Kwanza mna uhakika gani kama hiyo Jumamosi ndio siku ya saba kama ilivyo fuatwa na wayahudi wa enzi za Mussa? YESU Mwenyewe alifanya kazi siku ya sabato na yeye ndie Bwana wa SABATO. Mungu hafungwi na siku wala miandamo ya miezi. Mungu haabudiwi katika siku ya sabato, Mungu ana abudiwa katika roho na kweli. Sheria zifuate mkondo wake, hao wanafunzi wafukuzwe chuo kwa ku reject kufanya mitihani.
 


Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa (HOSEA 2: 28 )...Yesu alisema Iweni wapole kama huwa na werevu kama nyoka na Ya Mungu mpeni Mungu na ya kaisari mpeni kaisari.
 
Okay, nimekupata mkuu, kwamba kwa maoni yako, kufanya mtihani jmosi si tatizo kwa wana sabatos.
 

mkuu umesomeka na kueleweka.
 
Kwa ufahamu wangu mdogo ni kwamba siku ya sabato ilikua hairuhusiwi kufanya kazi za nguvu, kama vile, kulima, kuwinda wanyama, kuvua samaki, kujenga majumba na kazi za biashara. sasa mimi sijaona kama test au mtihani unahusika na hayo niliyoyataja hapo juu. Jee inaruhusiwa msabato kujiunga na jeshi? kama ndivyo, ikitokea mashambulizi siku ya Jumamosi atachukua hatua gani..??
Naheshimu sana imani za watu, lakini pia nawashauri waumini wawe na tafsiri sahihi ya wanachokisoma, ikitokea kwamba mitihani imekatazwa thats fine, stick on it..
 
Ewe Mfarisayo lini utabadilika...? Ninyi Wasabato(mafarisayo) Yesu alipata tabu sana na nyinyi....Ila hakuna shida maaana hao mafarisayo wenzako wako mtaani wana kula jeuri yao..
 

SDA=Mormon=Jehova Witness=Mafarisayo
 
Ufunuo wa Yohana 13:1-18
Inaongelea Mnyama........Papa

Ha ha ha....Umajaribu kupotezea mada ehhh....masikini Helen G White amepotosha kizazi cha Mafarisayo(Wasabato)....Any way hiyo ni tungo ya zamani sana njoo na tungo mpya...
halafu eti nasikia pia hamruhusiwi kuoga siku ya Sabato...? Hebu nipe jibu fasta ewe Mfarisayo..

Wasabato=Jehova Witness=mormon=Cult religion...
 
Acha upotoshaji, Muogope Mungu.Tazama Ufunuo 22: 18, 19. "Na mtu yeyote akiongeza au akiondoa lolote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima..."

Upotoshaji upi wewe Mfarisayo...Kwasasa kanisa la SDA linahaha kufanya reformation ya baadhi ya mambo waliyokuwa wanaamini...Maana hayana maana ....Kama kuto kuoga siku ya Sabato....
 
Dini inapokuwa mzigo na upofu wa kiimani ni janga! Unakataa kufanya mitihani ili kuilinda sabato wakati una dhambi nyingine kibao unazifanya ni upumbavu

Hili ndiyo lile dhehebu ambalo waumini wake walimaliza mwezi pale JKIA wakitaka kwenda Iraq bila passport wala VISA?
 
Okay, nimekupata mkuu, kwamba kwa maoni yako, kufanya mtihani jmosi si tatizo kwa wana sabatos.
Sawa kabisa na hata nabii Issa alisema huwezi acha ndama katumbukia kisimani ukaenda kusali siku ya sabato. Ndo maana sie unaambiwa ukaswali na uendelee na kazi siku kama ya leo
 
Sawa kabisa na hata nabii Issa alisema huwezi acha ndama katumbukia kisimani ukaenda kusali siku ya sabato. Ndo maana sie unaambiwa ukaswali na uendelee na kazi siku kama ya leo
I get you precisely.....
 
Mmmh!!
Mambo ya Imani yana changamoto sana katika jamii yenye watu mchanganyiko wa kiimani.

Katika maisha yangu nimekutana na watu ambao wana siku maalum ya kufanya Ibada kuu(Ni muhimu na lazima wao waabudu siku hiyo na wasipofanya hivyo kwao ni dhambi kubwa sana!!!). Kwa mfano Alhamisi(Hindu, Budha?), Ijumaa(Waislam), Jumamosi(Wasabato), Jumapili(Wakristo wengi), Jumatatu(Mansonia? Free......!?).
Hao wote wangependa wasifanye kitu chochote siku yao ya kuabudu zaidi ya kujiandaa kwenda Ibada, kusali na kupumzika tu. Sasa kila mmoJa akitaka iwe anavyotaka sijui kama Shule, vyuo, Ofisi, biashara, siasa, michezo nk. kama vinaweza kufanyika?

Hapa inahitajika Hekima na Busara tu na wala sio misimamo mizito mizito.
Na kwa vyovyote vile lazima watakuwepo watu watakao athirika ni maamuzi ya kijumuiya.
 
Hiyo ni tafsiri yako juu ya maandiko, sio lazima kila mtu akubaliane nayo, mambo ya imani should be handled with care.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…