Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Ya kaisari mpe kaisari ya mungu mpe mungu

Mungu ndo kapewa saoto, kama alivyoagiza, mbona kaizari anaing'ang'ania?
by the way nchi yako (Kaisari) ametoa pumziko jumamosi (sabato) na j'pili, hawa walimu wanalipwa PT za nini on that day?

SP

SP
 
Inasikitisha kuona kuwa wengiwetu tunatii wanadamu kuliko kumutii Mungu
 


LoL...None of the above ndg yangu ingawa i knw what is going around.
 
mbn udsm wasabato wanafanya mitihan jpili (special) ikiwa wenzao wamefanya jmos?
mi naona iman ya mtu iheshimiwe as long as ndivyo impasavyo kutenda na sio habar za kukomoana na kuleta sababu nyiiing
 
Dini ya sabato ina mambo mengi ya ajabu. Mbona Waislam wanafanya kazi siku ya ijumaa?
 
Ibara ya 12 mpk 29 imeweka wazi juu ya swala la haki za binadam na za msingi kwa ivo basi chombo chochote iwe ni private ama public kinapaswa kuheshim na kulinda haki izo za msingi... Teku wamevurunda hapo honestly!
 
Mapolomoko hiki ni kizazi cha nyoka.
Ila tumumbuke Mungu wetu si kigeugeu asemacho ndo kitachotokea. Msipomtii hata mawe yatamtii
 
Last edited by a moderator:
TEKU waliamua kufuata mkondo wa chuo cha kitaifa hivyo inabidi wawavumilie wenye imani tofauti. La sivyo watamke wao ni chuo kikuu cha wamoravian nasi hatutakiuwa na lingine bali kuwaachia chuo.
na hii ni Public Institution wanatakiwa wafuate sherai na katiba ya nchi pia si kanuni za kimoravian
 
mbn udsm wasabato wanafanya mitihan jpili (special) ikiwa wenzao wamefanya jmos?
mi naona iman ya mtu iheshimiwe as long as ndivyo impasavyo kutenda na sio habar za kukomoana na kuleta sababu nyiiing
nadhani unadhauri vizuri, wachukue mkondo upi sasa kisheria/taratibu?
 
Wakajiunge na vyuo vyao kisabato, halafu wengi wao ni wanafiki wa kutupwa kimatendo..nimesoma kiduchu shule yao, kuhudhuria mikanisa yao kama magomeni, mwenge na pia kusoma nao chuo yaani mambo yanayotendwa na baadhi yao halafu sabato ni mazito sana halafu kujitia watakatifu..bullshit!! hamna mtu malaika ila hawa wengi wa sda ni big pretenders.
siku ya sabato biblia kubwa, happy sabbath za kumwaga kumbe matendo ya kiasherati imewatawala..eish!!
 
na hii ni Public Institution wanatakiwa wafuate sherai na katiba ya nchi pia si kanuni za kimoravian
Mkuu kwenye vyuo vikuu vyote vya Umma hakuna kitu kinachoitwa Public Holliday kwa wanachuo, Vipindi vya masomo na mitihani inafanyika siku yoyote iwe week end ama sikukuu, usiku ama mchana.
Hii kitu ipo UDSM, UDOM, IFM, MuccoBs, SUA, MUHAS nk.
 
Mpumbavu hata umpwange pamoja na ngano kinuni upumbavuwake hauta mtoka, sijasemamimi imesema Biblia, SABATO ni kwaajiri ya mwanadamu si mwanadamu kwaajiri ya SABATO, je, mna muona Mungu ni mjingasana kwa kusema ikumbuke SABATO?, Kutoka 20:8---

Hii ni mbaya kwako kama wewe ni msabato!huna roho ya unyenyekevu na ustahimilivu.Na hii ni mojawapo ya ishara'mtawatambua kwa matunda yao'

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Inasikitisha sana...Ila tutafanyaje.. ?Hata Yesu alipata shida sana na hawa watu Mafarisayo(Wasabato)...Ila tuwaombee tuu Mungu ipo siku watafunguka na kuijua kweli wawe huru...
 
Kuna vitu 3 vitakatifu 1. Ndoa 2. Sabato na 3. Meza ya bwana. Ukicheza na hivi vitu unatafuta laana. Ukividhihaki hivi vitu unaitafuta adhabu ya Mungu. So wewe unayedhihaki jiangalie sana. Kama huamini basi ni vyema ukatumia hekima kupinga ila si kutumia lugha mbaya.
 

Umesema kweli kabisa Belinda, ila kuwa msabato si tiketi ya kwenda mbinguni, hili ndio wasabato wengi tunalisahau na kujiona tumesimama. Usengenyaji, uzinzi na uasherati vimetawala kwetu kama ambavyo vimetawala sehemu zingne......Ni kwa neema tu tuzidi kuombeana.
 

Ameen... Ubarikiwe na Bwana na Sabato njema!
 
kilichowapata hawa wanafunzi ni halali yao, chuo gani huwa kinafungwa kwa sababu za kuabudu? hata mlimani lecture anaweza kuja jumapili au akatoa assignement jumapili au akawatarifu kuwa jumapili kuna darasa,hawa lazima wajue kuwa sasa wako shule na kilichowapeleka hapo ni kusoka,wangeweza kufanya mtihani na baadaye wakenda kusali hata chumbani,Mungu hathaminiwi kwa kuheshimu siku bali ibada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…