Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka kajukwaa ketu ka Sheria naona kana wachangiaji wachache sana, especially kwenye thread hii, ingekuwa mambo ya mahusiano (mapenzi in paricular), siasa, udaku, etc, post zingefika mia kidogo! Labda kwa kuwa jambo lenyewe haliwahusu watu wengi au?